FT: Yanga SC 1-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC '22/'23 | Benjamin Mkapa Stadium

Achana nao hyo timu ukiishangilia na akili zinanyofoka,yani wanajitoa ufahamu hawareason
 
Achana nao hyo timu ukiishangilia na akili zinanyofoka,yani wanajitoa ufahamu hawareason
Ukitaka kujua hawatumii kabisa mbongo zao, aliyewaambia hawana akili eti ndiye anayewakaririsha ubora wa Yanga.
 
Ukitaka kujua hawatumii kabisa mbongo zao, aliyewaambia hawana akili eti ndiye anayewakaririsha ubora wa Yanga.
Yani unajua mpk unashangaa aisee.Yanga wanaojua uhalisia huwezi wakuta wanabishana eti Simba imefungwa mara ya mwisho lini. Kwenye ligi hakuna ni wametoka droo na kufungana mara mbili. labda hizo mechi mbili za ngao na Azam sfc. Lakini utakuta yanavyobwabwaja sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…