Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Fanya uzoomFaulo imewakenulisha leo vyura yani wasingetoka na Simba wangeongeza cha pili au kulinda goli lao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya uzoomFaulo imewakenulisha leo vyura yani wasingetoka na Simba wangeongeza cha pili au kulinda goli lao.
Joash akimuona Kisinda? [emoji23][emoji23]Mayele Akimuona Josh Huwa hana Furaha
Nasahau vp sasa 😀Hahahahah hahahaha aiseee mkuu una kumbukumbu sijaenda bado ntakutumia mpk mwisho mwaka.
Mpira utaisha kwa droo ya 1:1 lakini mmoja wao atasawazisha dakika za majeruhi
Mbona una wenge bimkubwa? Nani kakuambia kuwa jangwani ni sherehe? Huku kuna majonzi sana mayele hakuwatoboeni leoOkrah amempatia mnyama goli, kisha akapambana kumnyima ushindi.
Sakho naye utoto mwingi, ana makeke mengi yasiyo na faida kwa timu.
Yote katika yote, Mgunda ni bonge la kocha.View attachment 2395799
Utoto wa sakho ndio huo uliozaa lile goli bora la afrikaOkra angeweka mbele matokeo ya timu badala ya matokeo binafsi, hizi takwimu zisingekuwa hivi mwishoni mwa mchezo.
Halikadhalika Sakho angeweka pembeni utoto.
Alie shangilia sare ni yupi kama sie alievua nguo?Ukiona ally kamwe kaandika gazeti insta kusifia aziz na amesema sana kuisifia timu yake .Tunaona wana utopolo wamepost sana status zao wakishangilia sare hii.
Hata hivyo si ajabu maana wameponea chupu chupu pamoja na kuingia kwao wamenyanyua mabega.
Simba ni dude kuubwa,ukilipiga ni lazima ujisifu.
KAMA INAUMA CHOMOA...Ukiona ally kamwe kaandika gazeti insta kusifia aziz na amesema sana kuisifia timu yake .Tunaona wana utopolo wamepost sana status zao wakishangilia sare hii.
Hata hivyo si ajabu maana wameponea chupu chupu pamoja na kuingia kwao wamenyanyua mabega.
Simba ni dude kuubwa,ukilipiga ni lazima ujisifu.
KAMA INAUMA CHOMOOAAAAAHatuna uwezo au focus yetu ni tofauti na nyie?
Sisi tukisema tuweke mikakati ya kuhakikisha Yanga tunamfunga, basi tukikutana inakuwa ni kimbari au Ukraine
Mnaspend mwaka mzima kwa aji ya kutafuta ushindi wa 1-0 ndio nini sasa?
Tafuta supu kwanza kisha kunywa maji ya kutosha alafu ndo uje kucommentNilikuwa maji sana tangu goli letu lilivyoingia ndio naamka sasa hivi.
Ila kama haya yangekuwa mashindano ya CAF simba tayari tungekuwa na goli la ugenini.
Uto wakidraw na Simba huwa na furaha sana
Duh mara ya mwisho Makolo kuifunga Yanga Raisi alikuwa Magufuli na mkuu wa mkoa wa Dar alikuwa Makonda