Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmekaririi[emoji23][emoji23][emoji23]Kyombo ana goli
Kamwe sikasiliki kwa matusi ikiwa kihoja hunipatiSawa dada
Zaidi ya ile faulo kuna lingine? Leta takwimu hapa.yanga kaongoza mashuti kuelekea golini
Unashangilia droo mtotoMleteee Mgundaa. Yanga wametepeetaaa
Kuku nae atakudharau kuna siku atakunyea machoni kama ww ndo mwenye banda huna maarifa ya kumkamata basi tegemea kuna siku atakukimbiza mpk uzirai. Hapa naamanisha kuku kama labda ihefu hivi,mtibwa hao ndo kuku wenu kuna siku watawanyeaWewe mimi wewe kuku wangu sihitaji hata manati na kufungulia mlango unaingia mwenyewe.
Wewe ushindi wao ni droo tu kwa sasa.Kuku nae atakudharau kuna siku atakunyea machoni kama ww ndo mwenye banda huna maarifa ya kumkamata basi tegemea kuna siku atakukimbiza mpk uzirai. Hapa naamanisha kuku kama labda ihefu hivi,mtibwa hao ndo kuku wenu kuna siku watawanyea
Fitina mkuu kumbe umeliona hill,Luna jamboTuna safari ndefu kama taifa, mzamiru hawezi kuwa midfielder, hamna mchezaji mule, kwenye timu yangu hachezi hata adhikiri uchi.. Sijui kwanini tuna mdharau nelson OKWA yule jamaa ana sifa zote za namba 8.
Ktk watu walioumia na mm mmoja wao kutoka droo na nyie mkuuUnashangilia droo mtoto
Dada mpira haujui kaoshe viombo sisi tunadicuss technically wewe unazani mpira mdako.
Kupigwa kupigwa dada yangu,wewe umenipiga 4 mechi moja mara moja mimi nimekupiga mara tatu mfululizo.
Hivi unakumbuka mara ya mwisho kumfunga Yanga kwenye NBC premier league ilikuwa lini?
Haya,niletee ile picha yako ukiwa busisi bridge sasa niiweke statusKtk watu walioumia na mm mmoja wao kutoka droo na nyie mkuu
Alhaily ndio nini, bishanaga na wanawake wenzio huko saluni wewe mweupe kwenye soka hujui lolote.Ila mkubali mkatae hii mechi imewaweka waziii kwa wapinzani wenu huko kimataifani aisee. Simba itaendelea kuogopewa huko na kina Alhaily
Hahahahah hahahaha aiseee mkuu una kumbukumbu sijaenda bado ntakutumia mpk mwisho mwaka.Haya,niletee ile picha yako ukiwa busisi bridge sasa niiweke status
Hebu achana na mm aisee utapoteza muda wako bureee. Sio kwamba sijui kuandika nimeamua tuu. Kwani unateseka ukiwa wapi? Nijue mpira kwani mimi kocha? Mimi nipo kuwakeraaaaaa tuu.Alhaily ndio nini, bishanaga na wanawake wenzio huko saluni wewe mweupe kwenye soka hujui lolote.
Hii kauli mtatembea nayo mwaka mzimaHiz nguvu wangeziweka kwa alhal wangekuwa mbali sana