Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Kisinda na Moloko, zaidi ya mbio hakuna wachezaji mule. Hii swala hata Utopolo ambao wanajitahidi kuwa na akili wanalijua.Ivi nani mwingine alimuona refaa anamwambia moloko acha ushamba cheza mpira ???
Sent using Jamii Forums mobile app