Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Yani acha basi tuu ni kuteleza ila motoo wameuona motooooYaani nyie ni useless kabisa....mmeshindwa kuifunga hii yanga nyepesi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani acha basi tuu ni kuteleza ila motoo wameuona motooooYaani nyie ni useless kabisa....mmeshindwa kuifunga hii yanga nyepesi kabisa
Ndio mimi hapa Pm iko wazi..Niko na Okraaaaaaaaaaa
Ndiomaana unaona kila mwana Simba Sc anajutia.Hayo matatizo nyie wajuaji mbona hamja yatumia
Ishu kumbe ilikuwa ni kucheka?Kwani SAA hizi unaamini kama Aziz Ki ameshacheka na nyavu?
Bado Mayele bado Fei Toto, kazi mnayo.
Hayo mambo ya pumzi ya moto bila kushinda ni kujilisha upepo tuu. Watu tunaangalia ubao.Yani acha basi tuu ni kuteleza ila motoo wameuona motoooo
Mental health ndicho kiingereza chenyewe ulichokariri kila hoja unayojibu, kweli we ni MBUMBUMBU wa kiwango cha SGR [emoji28]Mwisho wa safari yetu unajulikana, ila nyinyi hata mwanza tu haujulikani hivi hauoni hata aibu?
Kweli mental health ni issue kubwa sana kwa hapa Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikasirika sana tunarudi zetu kuangalia ubao wa Club bingwa Africa ndani 2 nje mbili kwa sufurii halafu 3 nje halafu ndani 1 kwa sufurii mioyo kwatuu. Chezea simba wweyeeeHayo mambo ya pumzi ya moto bila kushinda ni kujilisha upepo tuu. Watu tunaangalia ubao.
Sasa mambo ya kimataifa yanaingiaje tena hapa wakati tupo kienyeji zaidiUkikasirika sana tunarudi zetu kuangalia ubao wa Club bingwa Africa ndani 2 nje mbili kwa sufurii halafu 3 nje halafu ndani 1 kwa sufurii mioyo kwatuu. Chezea simba wweyeee
Hujakosea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1]
Sasa usituchagulie wapi tumwagilie mioyo yetu maana timu yetu kuna sehemu tunapata rahaaa..Huku tumeudhunika ila tukiangalia Africani huko tumakenuua ndo raha ya kua na timu kubwaaaSasa mambo ya kimataifa yanaingiaje tena hapa wakati tupo kienyeji zaidi
Mashambulizi yote aliyokosa Okrah mipira yote hiyo ilitengenezwa na IsrahBado lakini hajaweza kusaidia mashambulizi
Aya bana mwagilia moyoooooSasa usituchagulie wapi tumwagilie mioyo yetu maana timu yetu kuna sehemu tunapata rahaaa..Huku tumeudhunika ila tukiangalia Africani huko tumakenuua ndo raha ya kua na timu kubwaaa