Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soka sio draft useme unafunga tu kila wakatiNimekaa nimenyoosha miguu hata siamini kama tumeshindwa kuongeza magoli mawili. Huyo Diara anafungika vzr mnooo
Hujakosea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nlichojifunza
Inatakiwa umuache dem wako AKOJOE akilidhika na wewe mwanaume ACHIA KOJO LAKO[emoji169]
We unafurahia sare wakati sisi tumenuna?Kweli kutangulia sio kufika wamebinuka Aziz kapenyeza funguo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mke wa Professor wa mpira umesikika toka MAKOLO radio [emoji38]Profesa wa kigamboni amenusurika. Ilikuwa aondoke na Turkish Airlines ya saa 9 usiku.
[emoji1]Nlichojifunza
Inatakiwa umuache dem wako AKOJOE akilidhika na wewe mwanaume ACHIA KOJO LAKO[emoji169]
Usitukane na kudharieisha udhaifu wa mwenzio hata kama mnatofautiana.Domo lepe leo ndo atalala domo lote wazi
Nabii uchwara toka mabwepande [emoji1787]Sasa yanga msubiri kukandwa shirikisho maana hamna maajabu
Huyo mayele hivi mmechanjiwa nae? Mbona leo katoka tuu jasho?.halafu mnamuharibu bila nyie kujua yani mpk wenzake wanakos comfidence ya kufunga wanamsubiri yy shauri yenu. Hao hao wanawapeleke moto kama hawana akili nzuri,ukiacha ushabiki pembeni Simba imechezaa banaIliyopigwa bao mbili mbele na nyuma na Fiston Mayele ni Simba IPI? au kuna wachezaji wapya mmesajiri?
Thubutuuuuu,We unafurahia sare wakati sisi tumenuna?
Shika vizuri dela lako dada naona una sasambuaYanga walimpa Nabi hii mechi ya kuamua hatima yake kubaki au kusepa
Okrah alivyopiga mguu wa shingo dakika ya 14 tayari naskia kuna boda alionekana airport akiwa amebeba begi la Nabi
baada ya Azizi Ki kupata bahati, yule boda kaishaanza safari ya kurudi nalo Jangwani na kwa ripoti nilizozipata saizi anaitafuta Malapa
Mashabiki wa Yanga mnaopita njia hiyo mngejaribu kupungua barabarani ili kumuepushia foleni
Mchoyo sn, anataka tu afunge yy.Mchoyo
Mbaya zaidi kawafunga msio mpendaWe unafurahia sare wakati sisi tumenuna?
Kila timu ilitaka ushindi hata Simba walitaka ushindi.Simba na Yanga wote wamepoteza points tatu,hapo wamegawana point moja moja.Kwahiyo Simba hawakutaka ushindi mechi ya leo?
Hivi akili zenu zipo nchonyoni?
Ni kawaida mkuu humu tuu ndani ya JF live siwezi kusema hivyoUsitukane na kudharieisha udhaifu wa mwenzio hata kama mnatofautiana.
Kwa hiyo comment ndio performance?Comment zinaakisi nani hii droo kwake ni kama ushindi
Ni kukosa tu akili usiwashangae sana hao ndio mashabiki wa Simba wana matusi na kejeliUsitukane na kudharieisha udhaifu wa mwenzio hata kama mnatofautiana.
Nakupenda pia....Okraaaaaa popote ulipo nakupenda 😋😋😋😋 umetusaidia ... 😍😍😍😍