Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hali nimeiona na Mimi?Jamani mbona msg zinajipost mara mbili mbili au JF imezidiwa
Anataka sifa ya kufunga goli, yaani uchoyo wa kifala Sana ule.Kwani hivi unajua kuna kitu huwa kinawaingia wachezaji bila wao kujua ee sasa kwanini Okra alikua anashindw kutoa pasi kwa mtu alie kaa kwny position nzuri?
Kwa kweli leo ni km tumepotezaKwa Simnba ya sasa droo na utopolo ni big loooss tena a very big one
Na yule hana mda watamuondoa .....ww subiri waarabu wafanye yao watamkimbiza tuProfesa wa kigamboni amenusurika. Ilikuwa aondoke na Turkish Airlines ya saa 9 usiku.
Hayo ndio maneno. Ni sifa kutoa sare na SimbaSimba Team Nzuri Ndiyo Maana Inafanya Vema Kimataifa
Tuwaulize nyinyi mliojisifia kutawala mchezo wenu na Hilal licha ya kufungwa, kisha leo hamtaki kusikia hoja ya kutawala mchezo, hivi akili zimo kweli?Mna ujinga mwingi sana, mbona msitumie hayo mapungufu kushinda game yenu?
Siyo kama, kubalini tu MAKOLO ni wachumba tu mbele ya YANGA tangu 2019 mnajificha tu kwenye kichaka cha kujiita wa kimataifa ilihali mwisho wa safari yenu huwa unajulikana [emoji16]Kwa Simnba ya sasa droo na utopolo ni big loooss tena a very big one
Hapo Morrison itakuwa yupo maji mtaita mma2 September
Uto unakufa
Leo mnafurahi drooo kwa usajili ule ghaaramaOkraaaaaa popote ulipo nakupenda [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] umetusaidia ... [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
MchoyoOkrah hatufai wana Simba asipobadilika. Huyo ndiye aliyetunyima ushindi Simba leo.
October mapema tu anaachia ngaziProfesa wa kigamboni amenusurika. Ilikuwa aondoke na Turkish Airlines ya saa 9 usiku.