Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Weee mlete OkraaaaLeo mnafurahi drooo kwa usajili ule ghaarama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee mlete OkraaaaLeo mnafurahi drooo kwa usajili ule ghaarama
Kipindi cha Kwanza MAKOLO alipaki basi, kipindi cha pili wameenda sawa, punguza mahaba we KOLOWIZARD [emoji13]Huyo mayele hivi mmechanjiwa nae? Mbona leo katoka tuu jasho?.halafu mnamuharibu bila nyie kujua yani mpk wenzake wanakos comfidence ya kufunga wanamsubiri yy shauri yenu. Hao hao wanawapeleke moto kama hawana akili nzuri,ukiacha ushabiki pembeni Simba imechezaa bana
Mimi nilichojifunza ndani ya huu mwezi wa kumi, na pengine nitaendelea kujifunza:-Nlichojifunza
Inatakiwa umuache dem wako AKOJOE akilidhika na wewe mwanaume ACHIA KOJO LAKO[emoji169]
Hayo matatizo nyie wajuaji mbona hamja yatumiaKwa namna ambavyo Simba Sc tumeishika game, draw itakuwa ni matokeo ya kikatili sana.
Na tukiamua kuwa wakweli, hii team ya Yanga ina matatizo mengi sana, hata huko shirikisho haiwezi kutoboa
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za maiti hizi.Simba wameloga sana, Mayele hajapata nafasi
Halijawahi kutokea au we ndo huangaliagi mpira?Hilo shuti halijawai tokeaa Toka mfumo wa vyama vingi kuanzishwaa Hapa nchin
Okwa anasepa kumpisha Merquesone.Simba deffence na midfielder Heko..
Simba ongezeni striker na kiungo fast mwenye macho..
Mgunda ongea na stricking force yako ushirikiano.
Ukiondoa Chama , simba haina mtu uhakia wa kupiga assist ..
Hili ni hatari , siku Chama akiumia simba ita flop..
Okrah , Phiri ,Kyombo ni wakimbiaji sio wapiga pasi....
Laiti simba itakuwa na wachezeshaji , Chama ange enjoy sana...
Kama Nelson OKWA sio, basi uza haraka...
Mwisho wa safari yetu unajulikana, ila nyinyi hata mwanza tu haujulikani hivi hauoni hata aibu?Siyo kama, kubalini tu MAKOLO ni wachumba tu mbele ya YANGA tangu 2019 mnajificha tu kwenye kichaka cha kujiita wa kimataifa ilihali mwisho wa safari yenu huwa unajulikana [emoji16]
Mkude hakutakiwa kumaliza mechiIla refa katoa kadi nyingi sana nyingine alitakiwa achune.
Kwenye zile mechi za Al Hilal hakuwemo?Hapo Morrison itakuwa yupo maji mtaita mma
basi wanaweza kukurupuka ukasikia wameleta kocha kutoka Ukreine,basi tu ilimradi waone kuna mzungu kwenye benchi la ufundi .dah,,!Haya mpeni mkataba Mgunda au bado mnamsikilizia.
Yes, na Feisal piaMkude hakutakiwa kumaliza mechi