Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Wewe manager wa Yanga?Target kuu ya Yanga mwaka huu ilikuwa ni kufika makundi tu. Sasa huoni kuna faida ya kufika hatua hiyo tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe manager wa Yanga?Target kuu ya Yanga mwaka huu ilikuwa ni kufika makundi tu. Sasa huoni kuna faida ya kufika hatua hiyo tu?
Wewe kama hujafika Dubai huwezi kufanana na aliyefika. Aliyefika hata kama hajafanya shopping lakini Dubai angekuwa anaijua.Ingekuwa kufika ni ubingwa sawa
Achana nao hyo timu ukiishangilia na akili zinanyofoka,yani wanajitoa ufahamu hawareasonAcha uongo wewe!!
Nyie watu hata ule msemo wa yule mmoja mwenye akili wa Klabu yenu, Kikwete umeshindwa kuutumia? Alisema "jambo la kuambiwa changanya na akili za kwako" Pale Kigoma Mwaka 2021 tulipowafunga moja bila kwenye Fainali ya Azam Confederation Cup halikuwa goli lile?
Ukitaka kujua hawatumii kabisa mbongo zao, aliyewaambia hawana akili eti ndiye anayewakaririsha ubora wa Yanga.Achana nao hyo timu ukiishangilia na akili zinanyofoka,yani wanajitoa ufahamu hawareason
Yani unajua mpk unashangaa aisee.Yanga wanaojua uhalisia huwezi wakuta wanabishana eti Simba imefungwa mara ya mwisho lini. Kwenye ligi hakuna ni wametoka droo na kufungana mara mbili. labda hizo mechi mbili za ngao na Azam sfc. Lakini utakuta yanavyobwabwaja sasa.Ukitaka kujua hawatumii kabisa mbongo zao, aliyewaambia hawana akili eti ndiye anayewakaririsha ubora wa Yanga.
Njoo unaongoza ligiTeam ndogo inakuongoza ligi, ipo CAFCL (wewe umetoka), umeshindwa kutufunga umesawazisha mwishoni, inakuwaje team ndogo, we una akili kweli wewe?😂