Ila humu bwana[emoji1]Mkuu mbona kiherehere kama mtoto wa kike. Niliye mquote anaelewa
Nawajua Utopolo tangu walipomng'oa meno Sahau Kambi. Siyo watu aisee!!Eti Nabi Out!, Who Told You?
Ha ha ha[emoji23]Vichwa vimeshachomolewa bado nyonga hahaaa
Acha kukariri maisha, unadhani watu wote wako Tanzania au saa sita wanakuwa wamelala ? Kama ni mashindano ungeanzisha weweThread imeanzishwa Saa SITA usiku?kwani kuna mashindano ya kuwahi anzisha thread hizi?
Asante sana mkuu Dan Zwangendaba kama umeona hilo tupo pamoja..!Hahahaha. Ghazwat akianzisha uzi aghalabu mnyama anashinda.
Mimi humu siwezi kufurahi TV ndogo sana hizo, hapa mtaani kuna banda lina Tv mbili inch 72 ukiwa humo hata ukae mita 20 utaona tu.mmasai na sime..View attachment 2395576
Jana walidai wagonjws ni Jimyson na Kapombe tu.Kanoute Ni mgonjwa?
Mbona Yanga hawaonekani kwenye uzi