OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Halafu jamaa wala hawapo serious.uto bwana ati kuna mashabiki walikua wanaingojea kwa hamu mechi wakiamini wataifunga au kudroo augsburg. akili kweli sio kwa kila mtu
Hapo ndiyo mwisho wa uwezo wa Diara. Na uzee unamuandama sana. Usoni makunyanzi yamejaa kama ngozi ya tako.Mdaka mishale bado yupo likizo
Wanatoa Homework kwa GamondHalafu jamaa wala hawapo serious.
Asantehttps://www.facebook.com/
View: https://m.facebook.com/100064262906664/videos/%F0%9D%95%84%F0%9D%95%A1%F0%9D%95%A6%F0%9D%95%9E%F0%9D%95%92%F0%9D%95%9D%F0%9D%95%92%F0%9D%95%9F%F0%9D%95%98%F0%9D%95%92-%E2%84%99%F0%9D%95%A3%F0%9D%95%96%F0%9D%95%9E%F0%9D%95%9A%F0%9D%95%96%F0%9D%95%A3%F0%9D%95%A4-%F0%9D%95%80%F0%9D%95%9F%F0%9D%95%A5%F0%9D%95%96%F0%9D%95%A3%F0%9D%95%9F%F0%9D%95%92%F0%9D%95%A5%F0%9D%95%9A%F0%9D%95%A0%F0%9D%95%9F%F0%9D%95%92%F0%9D%95%9D-%E2%84%82%F0%9D%95%A6%F0%9D%95%A1/1148972589552311/
Hiki kitu nilikiona muda mrefu sana kwakeBaleke
PoaKuhusu mimi kuwa serious kwamba hawa majamaa hawako serious? Niko serious
Kwani kuna ubaya Mtani? 😂Uto wameshangilia balaa