Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Leo umeandika point na ninakuunga mkono ndugu mwasibu. Hata mi imenisikitisha sana na ule mjezi mweusi waliouavaa.Timu za Tz zinaendeshwa kienyeji sana. Huu ndio ulikuwa wakati wa kuuza jezi zao. Ajabu hii timu inaingia na magunya
Teh teh. ๐๐Imewauma eeh??
Nakazia Mkuu.Tarehe nane wakina Deborah wanakufa 8
Mkuki wa moto huu.Simba inahitaji miaka kumi ndo iifunge yanga
Huyu atakuwa Mnyalukolo. Alitaka kusema mpaka.Mbaka ndo nn.
Kwa ajili ya maendeleo ya mpira wetu na kujitathmini kwa ajili ya msimu unaokuja wa 2024/25, tunaomba Simba nayo icheze mechi hata 1 na timu ya ligi kuu ya Misri e.g Al Ahaly, Zamalek na Pyramid. Mechi ioneshwe live.mkuu si unasemaga mpira unaujua? umecheza na kuchambua unajua? sasa mbona koments zako hazireflect unayosemaga? unamkumbuka pogba wa juve na pogba wa man u? unamkumbuka messi wa kabla ya pep na mess chn ya pep?
Hapa kwenye kuonyeshwa live ndio mzozo utakapoanzia.Kwa ajili ya maendeleo ya mpira wetu na kujitathmini kwa ajili ya msimu unaokuja wa 2024/25, tunaomba Simba nayo icheze mechi hata 1 na timu ya ligi kuu ya Misri e.g Al Ahaly, Zamalek na Pyramid. Mechi ioneshwe live.
Kwa nini kuwe na mzozo Kiongozi?Hapa kwenye kuonyeshwa live ndio mzozo utakapoanzia.
Aziz yule Singida BS yupo Utopolo kwa sasa?๐ฐ๐๐ ๐๐๐๐๐ฐ
๐ #MpumalangaCup๐ฟ๐ฆ
โฝ๏ธ FC Augsburg๐ฉ๐ช๐Young Africans SC๐น๐ฟ
๐ 20.07.2024
๐ Mbombela Stadium
๐ 15H00๐ฟ๐ฆ 16H00๐น๐ฟ
View attachment 3046769
Kikosi kinachoanza dhidi ya FC Augsburg #preseasontour
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3047190
Mpira umeanza
Dakika ya 1
0-0
Dakika ya 3
Augsburg wamekosa goli la wazi
Dakika ya 8
Max anakosa goli la wazi off target
Dakika ya 16
0-0
Dakika 25
0-0
Dakika ya 37
Goooal Augsburg wanaongoza kwa goli moja
Dakika ya 43
Aug 1 -0 Yng
Dakika ya 45 +1
Halftime
Aug 1-0 Yng
View attachment 3047255
Kipindi cha pili kimeanza
dakika ya 46
Aug 1-0 Yng
Dakika a 59
Chama kachezewa madhambi
Dakika ya 63
Mabadiliko anatoka Aziz k anaingia dube anatoka chama anaingia beleke
Dakika ya 64
Yanga wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 66
Aug wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 67
Mzize kagongesha mwamba
Dakika 68
Beleke kaumia
Dakika ya 72
Aug 1-0 Yng
Dakika ya 80
Goooal Aug wanapata chuma cha pili
Dakika ya 87
Goooooal baleke
Dakika ya 90+5
Full time
Aug 2-1 Yng
Yah, ndie yeye Azizi Andambwile.Aziz yule Singida BS yupo Utopolo kwa sasa?
Anajua na ana utulivu sana sijui kama Yanga watamtumia vizuriYah, ndie yeye Azizi Andambwile.
Simba wanacheza mechi za kirafiki kisiri siri pasipo kuhabarisha umma matokeo na wamecheza na nani. Tegemea kuona live mechi moja tu ya kirafiki siku ya Simba day basi. Halafu kocha anasema wanacheza mechi za kirafiki kwa dakika 45 hadi 60, inamaana wachezaji waliosajiliwa ni vilaza sana mpaka kocha aenze kuwa kama anafundisha amateur?Kwa nini kuwe na mzozo Kiongozi?
Ila kwenye mechi za nje ya nchi kama CAF Champion League, CAF Federation, AFL n.k ni kama Ihefu, Pamba, Mtibwa, Majimaji, Gwambina au Mashujaa. Mpaka kuvaa medali za shirikisho kwao ni kama kombe. Tangu nimekua sijawahi kuona timu zaidi ya Yanga inayojitapa kuvaa medali. Timu inajitapa kwa kuishia nusu fainali, kucheza fainali n.k na siyo kuvaa medal. Leo hii nikuuliza Manchester United imechukua medali ngapi. Hautanipa jibu hata uki-google hautapata ila utapata imechukua kombe la ligi mara ngapi, imefika robo au kucheza fainal ya UEFA mara ngapi ila siyo medali. Kwa timu kama ihefu au mashujaa, kuvaa medali kwao ni moja ya mafanikio.Msimu huu Yanga watamaliza ligi bila kupoteza mechi hata moja.
Wekeni akiba ya hii comment yangu. Na mfungaji bora wa kwanza na pili watatoka Yanga.
Tulivaa medali kwa kucheza fainali ya kombe la shirikisho.Kwa Mechi za Tanzania. Yanga ni kama Real Madrid, Barcelona au Manchester City. Kwa maneno yako ni uhakika, wanaweza wasipoteze mechi hata moja
Ila kwenye mechi za nje ya nchi kama CAF Champion League, CAF Federation, AFL n.k ni kama Ihefu, Pamba, Mtibwa, Majimaji, Gwambina au Mashujaa. Mpaka kuvaa medali za shirikisho kwao ni kama kombe. Tangu nimekua sijawahi kuona timu zaidi ya Yanga inayojitapa kuvaa medali. Timu inajitapa kwa kuishia nusu fainali, kucheza fainali n.k na siyo kuvaa medal. Leo hii nikuuliza Manchester United imechukua medali ngapi. Hautanipa jibu hata uki-google hautapata ila utapata imechukua kombe la ligi mara ngapi, imefika robo au kucheza fainal ya UEFA mara ngapi ila siyo medali. Kwa timu kama ihefu au mashujaa, kuvaa medali kwao ni moja ya mafanikio.