shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
kwa ambao hatuko bongo tunaiona kupitia wapi mtaalamu?
huna imani et..?Hebu ngoja tutest mitambo, ni vyema inyeshe ili tuone kama kuna kunakovuja.
we mtu wa maana kabisa. sikuwaza kama huku itaonyeshwa.
Au unaweza kutazama kwa app ya Azam maxwe mtu wa maana kabisa. sikuwaza kama huku itaonyeshwa.
Kurudi nyuma mwikoo๐.ni mwendo wa Makombe tuu hadi kuku waone wivu๐Mwiko nyuma๐๐๐๐๐๐๐๐๐
kwamba unajaribu kusema 'lets go Young Africans'?Twende Yangaa..
tayari leo wadhungu 4 sisi 1
๐๐KURUJUANI tayari leo wadhungu 4 sisi 1
Haileti ladha kwakokwamba unajaribu kusema 'lets go Young Africans'?
Haileti ladha hata๐ ๐
Hizi ni channel za youtube au ni app?
AppHizi ni channel za youtube au ni app?
South Africa ni winter time sasa hivi, kucheza usiku ni majanga.Yaani game iko mapema kabisa.
16:00Hrs.