FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

Kama ndoto vile ila Leo mji mzima wa Augsburg wanaangalia namna yanga wanavyotandaza soka
NB
Hii mechi inaweza kutupotezea wachezaji wa kutumainiwa hasa Bacca na Job endapo watakiwasha sana maana Augsburg watawachukua
 
Wekeni kikosi
Kikosi cha Augsburg
IMG_20240720_151857.jpg
 
Back
Top Bottom