Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Shoga we muumbajiDada wewe sio muumbaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga we muumbajiDada wewe sio muumbaji
Saa 16:00 ni mapema sana wangekipiga saa mbili au tatu usikuYaani game iko mapema kabisa.
16:00Hrs.
Nimependa sana hii mechi maana halisi ya pre season, mtani hongereniUmeonaee! Yaani kipimo kizuri kabisa na hizi mechi ndo zitatupa mwangaza wa nini tutafanya Timu ya Wananchi msimu mpya ukianza kule Champions league.
Bondeni baridi sana mkuu 😂😁Saa 16:00 ni mapema sana wangekipiga saa mbili au tatu usiku
Kwa ajili gani saa mbili au saa tatu sa Mkuu? 😂😂Saa 16:00 ni mapema sana wangekipiga saa mbili au tatu usiku
Nchi gani?Saa 10 jioni
Ahsante sana Mtani.Nimependa sana hii mechi maana halisi ya pre season, mtani hongereni
Hahahahaha, muungwana vitendoAhsante sana Mtani.
Sisi hatujataka poroojo tumeamua kuongea kwa vitendo. Teh teh.
Kabisa Mtani.Hahahahaha, muungwana vitendo
Wekeni kikosiKabisa Mtani.
Usijali Mkuu wakishakiweka kwenye pages za klabu na sisi tutakitupia huku.Wekeni kikosi
Kikosi cha AugsburgWekeni kikosi
Kikosi cha YangaWekeni kikosi
Tayari fatilia post no 1 na 101Wekeni kikosi