Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha, acha uwoga mkuu ila ni kweli leo ma scout wataifutilia hii hasa toka GermanyKama ndoto vile ila Leo mji mzima wa Augsburg wanaangalia namna yanga wanavyotandaza soka
NB
Hii mechi inaweza kutupotezea wachezaji wa kutumainiwa hasa Bacca na Job endapo watakiwasha sana maana Augsburg watawachukua
Wale kwenye hiyo sector huwa wako makini sana.Hahahahaha, acha uwoga mkuu ila ni kweli leo ma scout wataifutilia hii hasa toka Germany
Kiungo Sure boy mh! Bora hata Mkude.Kikosi cha Yanga View attachment 3047193
Wekeni kikosi
Pole rafiki ni 16:00Hrs.
Hiki kikosi kwa upande wangu hapana aisee! Nilitegemea kuona mastaa wote wapya wanaanza. Akiwemo Boka, Dube, Baleke, na huyo Duke Abuye!Kikosi cha Yanga View attachment 3047193
Wataumia! Hii ni pre season sio ligi kuu Babu!Hiki kikosi kwa upande wangu hapana aisee! Nilitegewa kuona mastaa wote wanaanza. Akiwemo Boka, Dube, Baleke, na huyo Duke Abuye!
Halafu Pacome mbona hata sub hayupo!!
Atanunua nani huko?Timu za Tz zinaendeshwa kienyeji sana. Huu ndio ulikuwa wakati wa kuuza jezi zao. Ajabu hii timu inaingia na magunya
Jitahidi tu umsahau ili maisha yaendelee! Hivi tuna mpango wa kumgawia hekari kadhaa za ardhi huku Singida ili alime alizeti, na hivyo kupata hela ya kujikimu.Match ya leo bila Guede!😣😣😣😣😣