Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Sio rahisiAkazane wamchukue
Hawa majamaa wako trained aisee. Wanateleza tuYanga hawana UBAVU, haya majamaa yanacheza objective footbol. Accuracy za pasi na blocking ni kiwango kikubwa kabisa ,na uli michezo wa YANGA wa kurudishwa mpira nyuma na kuanza kwa kipya Leo watakipata
Wanajitahidi kujikaza, waombe tu pumzi isikate.Yanga hawana UBAVU, haya majamaa yanacheza objective footbol. Accuracy za pasi na blocking ni kiwango kikubwa kabisa ,na uli michezo wa YANGA wa kurudishwa mpira nyuma na kuanza kwa kipya Leo watakipata
Wanajua boliHawa majamaa wako trained aisee. Wanateleza tu
Labda bado hamisa hajatoka kichwani. Akitoka tutamuona.Hivi Azizi Ki yupo sub?
akina nani, Augsburg au Yanga?Kona ya kwanza tunapata
Wachezaji hatuwaoni vizuriiCamera moja imegoma imebidi watumie ya kutokea juu. Wakitumia ile nyingine picha zinakuwa na mawimbi
Sisi wazee wa bundesligaakina nani, Augsburg au Yanga?
Hakuna kitu rahisiSio rahisi
Hata nao hawaonani uwanjaniWachezaji hatuwaoni vizurii
Anaruka ruka churaChama vp huko