Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sasa hizi ni propaganda na ukitaka tufike huko itabidi utupe ushahidi kitu ambacho nahofia huwezi kufanyaNa ile timu ya Misri ilowafunga SITA ni daraja la ngapi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hizi ni propaganda na ukitaka tufike huko itabidi utupe ushahidi kitu ambacho nahofia huwezi kufanyaNa ile timu ya Misri ilowafunga SITA ni daraja la ngapi!?
Wangekua hawakamii wasingecheza foul nyingi.Hawakamii mbona wako regular tu Mzee?
Sema pale mbele una cabinet ya wasee (kama wamasai wanavyotamka) ndio maana unaona jamaa wanakaView attachment 3047264
Hivi unajua hata kikosi chao cha kwanza boss?Wangekua hawakamii wasingecheza foul nyingi.
Vipi timu ilowafunga Misri goli 6 ni daraja la ngapi?
Stori za vijiweniWangekua hawakamii wasingecheza foul nyingi.
Vipi timu ilowafunga Misri goli 6 ni daraja la ngapi?
Foul sio kukamia, sometimes unaangalia na mazingira ya foul ilivyofanyika.Wangekua hawakamii wasingecheza foul nyingi.
Vipi timu ilowafunga Misri goli 6 ni daraja la ngapi?
Mkuu we shabiki wa simba kweli!?Sasa hizi ni propaganda na ukitaka tufike huko itabidi utupe ushahidi kitu ambacho nahofia huwezi kufanya
Tizama vizuri mpira.Foul sio kukamia, sometimes unaangalia na mazingira ya foul ilivyofanyika.
Mtu unaweza kujiweka kwenye njia ambapo mtu akikugusa tu inakuwa faulo
Wajerumani wanacheza easy game sanaFoul sio kukamia, sometimes unaangalia na mazingira ya foul ilivyofanyika.
Mtu unaweza kujiweka kwenye njia ambapo mtu akikugusa tu inakuwa faulo
Tulicheza na timu ya Urusi, ulipata matokeo?Mkuu we shabiki wa simba kweli!?
Si mlicheza na katimu Misri msimu huu kakawalamba 6!?
Akiwa na miaka 24 mimi nitakua na miaka 9Huyu Chadrack Boka ni kweli ana miaka 24??
Watu wanafika golini wanaanza show off afu mtu anasema eti wanakamiaWajerumani wanacheza easy game sana
Haijalishi bro kumbuka huyu kocha mpya na hana kikosi maalum cha kwanza.Pia ana wachezaji wa higher profile.Hivi unajua hata kikosi chao cha kwanza boss?