FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

Excuses kuwa wachezaji fulani Hawapo ndio maana tumelalwa ni excuses ya kitoto, wachezaji wote wa Yanga tumesajili kwa uwezo wao na wanakula mshahara kila mwezi.

Wakati Yanga tunalalwa na ihefu, hao wachezaji hawakuwemo,? wakati tunakula tatu bila pale Algiers, hawakuwepo?
Pamoja na kufungwa na Ihefu au huko Algeria juhudi zilionekana kweli kweli.
Unaona kabisa hapa timu inatafuta goli.
Hicho kitu umekiona hapo uwanjani leo?
 
Huyu kocha naye boya tu. Yaani wachezaji kibao tu hawapo hata sub!! Kuanzia Sure Boy, Mkude! Ngushi aliyefunga magoli mawili mechi ya kwanza, leo yuko nje!!
Halafu anavianzisha vitoto vya timu B kwenye hatua ya robo fainali!! Hawa APR ni wa kawaida sana. Sema tu kocha masihara mengi.
Yanga anamkimbia simba.
 
Gamond anapaswa afukuzwe ni mpambavu Sana, yaani watu wameacha shughuli zao kuja kudhalilika na kitimu Kama APR, viongozi ni wapuuzi sana.
Aliyesema APR hairuhusiwi kufunga ni nani? Kuna sehemu wametia saini!!! Maumivu njoooo. Plesha hizo mnajitakiaga wenyewe. Si bora mtafute starehe zingine. Mi bora nifurahie comments za FaizaFoxy
 
Hana mbinu kwenye hii michuano ya Mapinduzi? Umeangalia wachezaji waliotumika kwenye hii michuano ya Mapinduzi ubora wao dhidi ya wa kikosi cha kwanza? Kuna timu ipi nyingine imeweza kufanya hivyo alivyofanya kocha kwa kupanga wachezaji wengi wasiotumika kikosini? Sio swala la mbinu bali ni swala la ubora wa wachezaji waliopo Yanga, ukiachana na wa first eleven wengine wana viwango vya kawaida sana. Mbona kwenye ligi kapoteza mechi moja pekee na klabu bingwa kapoteza mechi moja pekee?
Huko si ananunua mechi.
 
Mkuu ni kweli Yanga wametaka kutoka...hata zile sub za kina Skudu ni ujanja ujanja tu.....hata wenye mashindano wameuma midomo maana Yanga wanawaperemba tu.......Inshort matokeo wamepanga Yanga
Sasa kama Yanga walikuwa na nina ya kutoka kwenye mashindano kwanini wasifanye hivo kwa mechi za makundi, kwanini waje kufanya makusudi kujitoa hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli Yanga wametaka kutoka...hata zile sub za kina Skudu ni ujanja ujanja tu.....hata wenye mashindano wameuma midomo maana Yanga wanawaperemba tu.......Inshort matokeo wamepanga Yanga
Sasa kama Yanga walikuwa na nina ya kutoka kwenye mashindano kwanini wasifanye hivo kwa mechi za makundi, kwanini waje kufanya makusudi kujitoa hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu sijui ninan aliye waaminisha UTO kuwa mpira unaendana na mdomo mdomo??????


[emoji23][emoji23] SIJUI NACHEKA NINI KWANI ZANZIBAR UROJO UMEMWAGIKA..?[emoji174]
hakuna wa kulaumu ni mpira tu huo,mbona wakishinda tunafurahi
 
Skudu na Lomalisa waliumia?
Umeangalia mpira?

Ulishawaona Yanga wakitafuta goli?
Kwa hiyo hujaona shekhan akipiga foul kwa ufundi na kipa kuokoa? Hujaona shekhan akipiga shuti na kugonga mwamba? Hujaona mzize akipiga shuti kali kwa mguu wa kushoto na kipa kuokoa? Wacha kujifariji. Mmepigwa kwa kuzidiwa.
 
Aliyesema APR hairuhusiwi kufunga ni nani? Kuna sehemu wametia saini!!! Maumivu njoooo. Plesha hizo mnajitakiaga wenyewe. Si bora mtafute starehe zingine. Mi bora nifurahie comments za FaizaFoxy
Kuna mahali nimeandika APR hawastahili kufunga?. Wewe kabemendwe na hilo jibibi!.
 
Kwa hiyo hujaona shekhan akipiga foul kwa ufundi na kipa kuokoa? Hujaona shekhan akipiga shuti na kugonga mwamba? Hujaona mzize akipiga shuti kali kwa mguu wa kushoto na kipa kuokoa? Wacha kujifariji. Mmepigwa kwa kuzidiwa.
Tutabishana hadi kesho hapa.

Hebu cheki game Yanga aliyofungwa na Ihefu.
Utizame na hii
 
Back
Top Bottom