Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Na kweli badala ya kuibariki AMEILAANI kutokana na KUAMINI SANA UCHAWI kwenye SOKATupo tayari kwa mchezo wa robo fainali mechi ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
View attachment 2864134
View attachment 2864968
Takwimu za kipindi cha kwanza.
Pamoja na kufungwa na Ihefu au huko Algeria juhudi zilionekana kweli kweli.Excuses kuwa wachezaji fulani Hawapo ndio maana tumelalwa ni excuses ya kitoto, wachezaji wote wa Yanga tumesajili kwa uwezo wao na wanakula mshahara kila mwezi.
Wakati Yanga tunalalwa na ihefu, hao wachezaji hawakuwemo,? wakati tunakula tatu bila pale Algiers, hawakuwepo?
Yanga anamkimbia simba.Huyu kocha naye boya tu. Yaani wachezaji kibao tu hawapo hata sub!! Kuanzia Sure Boy, Mkude! Ngushi aliyefunga magoli mawili mechi ya kwanza, leo yuko nje!!
Halafu anavianzisha vitoto vya timu B kwenye hatua ya robo fainali!! Hawa APR ni wa kawaida sana. Sema tu kocha masihara mengi.
Bado sana.Naunga mkono hoja Bora turudi zetu kujiandaa na mechi ya wale waarabu
Tutasikia mengi mwaka huuSisi ni wananchi,Kiroho safi tumekubali kufungwa na APR Fc, makolo fungeni hizo bakuli zenu, case closed.
Aliyesema APR hairuhusiwi kufunga ni nani? Kuna sehemu wametia saini!!! Maumivu njoooo. Plesha hizo mnajitakiaga wenyewe. Si bora mtafute starehe zingine. Mi bora nifurahie comments za FaizaFoxyGamond anapaswa afukuzwe ni mpambavu Sana, yaani watu wameacha shughuli zao kuja kudhalilika na kitimu Kama APR, viongozi ni wapuuzi sana.
Huko si ananunua mechi.Hana mbinu kwenye hii michuano ya Mapinduzi? Umeangalia wachezaji waliotumika kwenye hii michuano ya Mapinduzi ubora wao dhidi ya wa kikosi cha kwanza? Kuna timu ipi nyingine imeweza kufanya hivyo alivyofanya kocha kwa kupanga wachezaji wengi wasiotumika kikosini? Sio swala la mbinu bali ni swala la ubora wa wachezaji waliopo Yanga, ukiachana na wa first eleven wengine wana viwango vya kawaida sana. Mbona kwenye ligi kapoteza mechi moja pekee na klabu bingwa kapoteza mechi moja pekee?
Sasa kama Yanga walikuwa na nina ya kutoka kwenye mashindano kwanini wasifanye hivo kwa mechi za makundi, kwanini waje kufanya makusudi kujitoa hapaMkuu ni kweli Yanga wametaka kutoka...hata zile sub za kina Skudu ni ujanja ujanja tu.....hata wenye mashindano wameuma midomo maana Yanga wanawaperemba tu.......Inshort matokeo wamepanga Yanga
Sasa kama Yanga walikuwa na nina ya kutoka kwenye mashindano kwanini wasifanye hivo kwa mechi za makundi, kwanini waje kufanya makusudi kujitoa hapaMkuu ni kweli Yanga wametaka kutoka...hata zile sub za kina Skudu ni ujanja ujanja tu.....hata wenye mashindano wameuma midomo maana Yanga wanawaperemba tu.......Inshort matokeo wamepanga Yanga
Mimi mnyama damuMkuu hata wewe umelalwa?
hakuna wa kulaumu ni mpira tu huo,mbona wakishinda tunafurahiAfu sijui ninan aliye waaminisha UTO kuwa mpira unaendana na mdomo mdomo??????
[emoji23][emoji23] SIJUI NACHEKA NINI KWANI ZANZIBAR UROJO UMEMWAGIKA..?[emoji174]
Unaweza kudhani nazungumza kishabiki....ni rahisi kuwa emotional kuliko rationalSasa kama Yanga walikuwa na nina ya kutoka kwenye mashindano kwanini wasifanye hivo kwa mechi za makundi, kwanini waje kufanya makusudi kujitoa hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hujaona shekhan akipiga foul kwa ufundi na kipa kuokoa? Hujaona shekhan akipiga shuti na kugonga mwamba? Hujaona mzize akipiga shuti kali kwa mguu wa kushoto na kipa kuokoa? Wacha kujifariji. Mmepigwa kwa kuzidiwa.Skudu na Lomalisa waliumia?
Umeangalia mpira?
Ulishawaona Yanga wakitafuta goli?
Kuna mahali nimeandika APR hawastahili kufunga?. Wewe kabemendwe na hilo jibibi!.Aliyesema APR hairuhusiwi kufunga ni nani? Kuna sehemu wametia saini!!! Maumivu njoooo. Plesha hizo mnajitakiaga wenyewe. Si bora mtafute starehe zingine. Mi bora nifurahie comments za FaizaFoxy
π€£ππππWenye akili ni wawili tu huko Uto
Tutabishana hadi kesho hapa.Kwa hiyo hujaona shekhan akipiga foul kwa ufundi na kipa kuokoa? Hujaona shekhan akipiga shuti na kugonga mwamba? Hujaona mzize akipiga shuti kali kwa mguu wa kushoto na kipa kuokoa? Wacha kujifariji. Mmepigwa kwa kuzidiwa.