FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

Gamondi ameona isiwe shida Hana wachezaji tegemezi 11 ! Na ratiba za michezo Tz wakati mungine zipo kisiasa na zinaingiliana na programu zake katumia ufundi wake yanga kuondoka mapinduzi kimya kimya bila lawama au kujitoa na bila kusumbuana na azam na simba .
Lakini Yule dogo Wilson chigomba na shekhan wanaupiga mwingi !
 
Uto si tu kwamba wamefungwa Bali waeoneshwa jisi soka linavyochezwa!
 
Hakuna kitu kapigwa tuu kazidiwa mbinu na APR. Na kwa kiburi kama hiki hii timu itaendelea kutia aibu. Timu Ina machawa wengi kuliko wachezaji wanabwabwaja tuu kwenye mitandao Haina lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…