Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Uto bila Diarra clean sheet ni majaliwa
Sikujua kuwa Diara huwa hafungw.
Lile ni goli haliuhusiana kipa
Wabongo pateni maturity basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto bila Diarra clean sheet ni majaliwa
Na mimi naomba, ngoja tuone baada ya 90’.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]bado naomba
Kwani huyo Mauya ni mchezaji wa KMC?Usimtetee mauya yule ni galasa bora hata mkude
Mauya kiwango chake kimeshuka sana, huyu tumpeleke Simba kwa mkopo apate muda wa kucheza.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mauya umezingua[emoji24][emoji24]
Anafikaje fikaje?Yanga hawezi kufika finally, trust me
Timu ikifanya vibaya lawama kwa mchezaji na sio timu. Mpaka mpira unafika kwa Mauya wengine walikuwa wanafanya nini?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mauya umezingua[emoji24][emoji24]
Yanaendelea vyema, na Mungu wa wasabato keshaanza kujibu 😁Maombi yako yanaendeleaje hapo kwa Mwamposa?
Manula kafunga MojaMbili
Goli kama lile hata Diara anafungwa tuUto bila Diarra clean sheet ni majaliwa
Yes ndiyo hihi kwani unaionaje ?Hii APR ndio ile waliyoisumbua simba
Yanga wamecheza vizuri, kosa Moja tu limebadili upepo.
Sio Shomari Kibwana aliyepiga pasi kwa Mauya?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mauya umezingua[emoji24][emoji24]