Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Bora tumefungwa na hawa, kwa kikosi hiki tungekutana na makolo wangerudisha zile 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Simba Sc damu damu kabisa😁Shiboub
Huu ndio uwezo wenu.Dharau ndio chanzo hapa
Watakuomba no ya simu kwa hiyo Pisi Kali iliyovaa blue jinsi, usiwanyime lakini Chifu [emoji2960]View attachment 2865025
dada zao wakina APR.
Kwenda huko kanafikiNimefurahi mara 100 kufungwa na hawa
Kuliko tungeenda kufungwa na Makoloo
Diarra
Yao
Bacca
Job
Aucho
Max
Pacome
Aziz
Mwanyeto
Musonda
Very cheap cup.
Aziza funguo alikuwepo au kaitwa timu ya Taifa?FT 1-3
Nakojoaaaaaaa
😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂= Asalaam Alaikum.
😂😂🤣🤣🤣😁😁😁
Sababu ipi ya kuona sio kocha mzuri? Toa sababu zako za kiufundi hapa sio unabwabwaja tu.Nachoweza Gamondi alikuta timu ilishaandaliwa vizuri na Nabi na ina wachezaji wazuri, lakini sidhani kama Gamondi ni kocha mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeamka usihofu.amkeni😂
Yanga tumewapiga Makolokolo chenga za kikatili sana, poleni sana Miso Misondo Band SC [emoji851]