Yanga imefungwa sihitaji msaadaKwahiyo tukusaidiaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga imefungwa sihitaji msaadaKwahiyo tukusaidiaje
Lengo lako wewe na nani?Naona mpo serious wenyewe hongereni [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Lengo letu ni kuwapa fursa wakaa benchi
.....🤔🤔...Kama unajua kinachofanywa na Yanga wala hushangai......Yanga wanajua wanachokifanya kuliko sisi tunaoshangilia.....Simba na Azam zote zinalitaka hili kombe sasa unadhan Yanga wamejiandaa
Basi ni kocha mzuri sanaSababu ipi ya kuona sio kocha mzuri? Toa sababu zako za kiufundi hapa sio unabwabwaja tu.
Tumepoteza mechi ila Yanga Ina future nzuri Sana, awa wachezji wapewe nafasi kwenye ligi kwakua uwezo wameonyesha.Jina Linapendeza tu kwa suffix yoyote ile...
Utopolo..
Utopox...
Utopwinyo...
........
Ndo Mpirani Ulivyo Wana Utopolo... Japo najua mtasema Kilikuwa Kikosi C...
Kaenda chooniKocha wa Uto kakimbia?
Tatu zinatosha?Nimekuta ubao unasoma 3 hapa nimejikuta nasema kwa sauti Mungu wangu..!🥺
Kabisa kabisa.....Nimefurahi mara 100 kufungwa na hawa
Kuliko tungeenda kufungwa na Makoloo
Kinda Jonas Mkude hajacheza leo.
Up kama Taif