Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #741
π€£πHebu rudia tena maneno yako hayo leo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£πHebu rudia tena maneno yako hayo leo!
Mmepigwa za usoGamondi ameona isiwe shida Hana wachezaji tegemezi 11 ! Na ratiba za michezo Tz wakati mungine zipo kisiasa na zinaingiliana na programu zake katumia ufundi wake yanga kuondoka mapinduzi kimya kimya bila lawama au kujitoa na bila kusumbuana na azam na simba .
Lakini Yule dogo Wilson chigomba na shekhan wanaupiga mwingi !
Kukatika umeme ni jangΓ la kitaifa. Siyo mwanza tu.Bila mungu kufanya kitu kwa huyu mzanzibar, watanganyika tutateseka sana. Mwanza hatuna umeme
AhsantePole
Asante. Afadhali hata hukuwepo maana mh!Sikuwepo ndo nimekuja asubui hii mtani..poleni ..
Kinehe?
HahaahaNimeamini uchawi upo
Sawa bosiKwani yanga huwa wanatafutaje goal? Acha ubwege na kudhalilisha wachezaji wetu. Wamefungwa ni matokeo ya mpira we kilaza. Kama hawakuwa wakitafuta goal walishindaje la kwanza na ilikuaje walikuwa wanaenda kushambulia?
HErsi toa gamondi ingiza robertinho
[emoji16]Hebu huko we Mzab. Moto huo veeeepee. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Abeeee[emoji28]Vale[emoji23]
TutawanyoaNa nyie leo mnanyonyolewa
Halafu hiki ki Id chako unakiibua tukifungwa tu. Lol ππ[emoji16]
Raha mnoooo....
Sanaaa yaniii... π π π
π€£ π€£ π€£ π€£ nimecheka sana kama naona bukta zao zinavyoshake...Hatari watu walikuwa wanapepea tuu kuelekea golini
Wacha bana...mimi mbona zile 5 sikulia...Jana nimelia sana hadi nikacheka π€£ππ mtani wangu
Jana usiku nimeishia kula bia tu huku na kulia π€£ππππππWacha bana...mimi mbona zile 5 sikulia...
mpira jana uliwakondesha ghafla... π π
Na kwako piaHalafi hiki ki Id chako unakiibua tukifungwa tu. Lol [emoji23][emoji23]
Ila Happy new year bana.
π π π πJana usiku nimeishia kula bia tu huku na kulia π€£ππππππ
π€£πππππππ π π π
Makosa wakifanya wachezaji utamlaumu kocha ?Hakuna kitu kapigwa tuu kazidiwa mbinu na APR. Na kwa kiburi kama hiki hii timu itaendelea kutia aibu. Timu Ina machawa wengi kuliko wachezaji wanabwabwaja tuu kwenye mitandao Haina lolote