Naona mmekaa standby.Yaani leo Uto msinde hii game hata bao moja na msilazimishe kutafuta mabao mengi hapana kwani mutawafanya wachezaji kuwa na pressure muhimu ni point tu vinginevyo mtasumbuka sana.
Hamshindi leo nimekaa paleSasa jiulize nani ana mdomo na kihelehele kati ya mikia na Yanga. Huu Uzi mmekimbilia kuuanzisha nyie kama wenu. Tatizo jana mmekimenya kitimu kutoka ligi mbovu Guinea. Basi mmekuwa kama machiz sasa mnarukia rukia tu chochote. Mna mioyo miepesi
Unachokifanya si kizuri! Naomna wahusika waufute uzi huu. Wewe ni mshabiki wa Simba acha wenye Yanga yao waendelee kama jana walivyowaheshimuniView attachment 2557448
Wananchiiiiiiiiiìiiiiiiiiii
Usiku wa deni haukawii kukuchwa. Leo ndiyo ile siku tuliyoisubiri kwa hamu kwa Yanga kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya CAFCC....
Ng'waunarang'walirawang'wara Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Manyaunyau/Madunduka/Makelele/Mipang'ang'a/Mikia/Zuwena/Kolowizards/Ngada/Kinyume nyume FC [emoji847]Haya Gongowazi SC[emoji196] اليوم هو يومك لتلقي ضربة قاسية منهم US Monastir
Yes. Mfanye vizuri, vinginevyo tutawaweka wakati mgumu sana.Naona mmekaa standby.
AahhajahjKabisa, hata miti, uoto wa nyasi, mboga mboga unafanana hivyo hivyo ila tunafurahia kuvuta hewa na lishe bora kabisa kiafya [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Acha kujishtukia. Happ nimefanya kosa gani. Mimi ni mtangazaji tu, kwani nacheza namba ngapi pale MonastirUnachokifanya si kizuri! Naomna wahusika waufute uzi huu. Wewe ni mshabiki wa Simba acha wenye Yanga yao waendelee kama jana walivyowaheshimuni
ninyi ni wa robo tu, round hii msimbazi tunaichafua Kwa kijani na manjanoHaya ni mambo ya Simba, nyie Utopolo haya mambo kwenu ni magumu, jikiteni na ligi za bongo tu
Kilaa kheri timu yenye mafanikio zaidi kutoka ukanda wa Afrika mashariki.View attachment 2557448
Wananchiiiiiiiiiìiiiiiiiiii
Usiku wa deni haukawii kukuchwa. Leo ndiyo ile siku tuliyoisubiri kwa hamu kwa Yanga kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya CAFCC.
Saa moja jioni mbivu na mbichi kujulikana. Tupo hapa kuisubiri saa 1 jioni ili tumalizane.
Mimi na wenzangu tupo hapa kukupa updates kinachojiri kabla, wakati na baada ya mechi. Usiondoke
Sisi ndio wenye nchi na njie mkiwemoMakolo mambo ya nchi muwaachie wananchi
Kama kuna Yanga mwenye ujasiri wa kuanziasha Uzi anyoshe mkono..shukuruni tu tumewasaidia...kulia au kucheka kupokezana..jana Simba wameanzisha uzi wao ukavamiwa na Wana Utopolo kwa jina la Horoya fan..kipi kigeni?!Unachokifanya si kizuri! Naomna wahusika waufute uzi huu. Wewe ni mshabiki wa Simba acha wenye Yanga yao waendelee kama jana walivyowaheshimuni
Hebu lia kimya kimyaa, sisi hatutaki kelele zenu hapa,Watu wa Simba mmeipania mechi ya leo mtazani yenu mpaka uzi mmefungua nyinyi, ukirudi huku kwenye inbox msg kibao za wana Simba. Yaani leo kwenye vijiwe mpaka mabenchi mmeyatoa nyinyi.
Ila leo tukiharibu hii wiki ijayo itakuwa ndefu sana kwetu, mnakamia mpaka mechi za wenzenu.
Duuh muanzisha Uzi anamuhao anadhani leo tutapata matokeo yasiyo mazuri..........View attachment 2557448
Wananchiiiiiiiiiìiiiiiiiiii
Usiku wa deni haukawii kukuchwa. Leo ndiyo ile siku tuliyoisubiri kwa hamu kwa Yanga kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya CAFCC.
Saa moja jioni mbivu na mbichi kujulikana. Tupo hapa kuisubiri saa 1 jioni ili tumalizane.
Mimi na wenzangu tupo hapa kukupa updates kinachojiri kabla, wakati na baada ya mechi. Usiondoke