Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
The Unbeaten 💪💪💃!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reoo ni reooo sis 💪💪💪💃💃💃💃🤸🤸Naona umeamua kuwasaidia maana hawajiwezi hata kupiga mswaki...imajin hawajafungwa waoo..
Liwapate lile mlilojiandaaa nalo...
Ni kawaida tuu..kikubwa updates tuzipate kwa wakati hahahahhaMods kwa nini mnaruhusu huyu mamluki kuanzisha uzi huu? Alianza kuanzisha Uzi wa kushabikia timu pinzani, ina maana atakuwa analeta up dates za upande mmoja tu.
Yaniii mi wala siangalii nitakua nasikilizia tuu vibanda umiza...Reoo ni reooo 💪💪💪💃💃💃💃🤸🤸
nakazia hukumu.Baadae nisisikie kelele za waarabu ni wagumu sijui nini na nini... hata mnyama alishawatandika waarabu hapo taifa vizuri sana tu.
Nachomaanisha, sitaki visingizio.
kwa mabeki wale kina Joyce mpira ni wake kabisa mia fil mia.Boubacar traoure amesema leo anataka aondoke na mpira Tanzania.View attachment 2557694
Kila lakheli yanga ila hamuwez kutufikia Simba sc kimataifa....nyie kimataifa ni UNDERDOG Kwetu....View attachment 2557449
Mabingwa wa kutandaza soka tamu, soka la kuvutia, soka la kumtoa nyoka pangoni, soka ice cream, soka lenye viwango vya Dunia, hapa nawazungumzia Young Africans leo mida ya saa 1.00 usiku watashuka pale dimba la Benjamini Mkapa kutafuta alama tatu zingine ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia robo fainali ya michuano ya shirikisho barani Afrika.
Ikumbukwe kuwa mchezo wa awali uliopigwa huko nchini TUNISIA [emoji1249] timu ya US MONASTIR iliichakaza vibaya sana wananchi kwa kuwafunga 2-0 hivyo mchezo wa leo utakuwa mkali kwa timu zote. Yanga anahitaji ushindi ili afuzu robo fainali kwa mara ya kwanza
Sisi ni mashahidi tu. Mkishindwa leo ndio basiMkono wa mtoto unahusika leo
Betting haipo hvyo chief!View attachment 2557590
usije kufikiri yanga atafungwa leo, bookies/Vegas hawajawahi kukosea odds.
Na ukiona odds kubwa imetoa tambua hiyo match ni fixing