FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mafanikio kombe la NBC??

Nyie msitake kuchekeshaa watu hapaa. Khaaaaah
 
Kama kuna Yanga mwenye ujasiri wa kuanziasha Uzi anyoshe mkono..shukuruni tu tumewasaidia...kulia au kucheka kupokezana..jana Simba wameanzisha uzi wao ukavamiwa na Wana Utopolo kwa jina la Horoya fan..kipi kigeni?!
Kwani nani kamuomba mleta Uzi kuanzisha Uzi? Yanga inafuatiliwa zaidi na wasio wanaYanga ndiyo maana tuwaacha maana tunajua wataanzisha
 
Umejitolea kuwafungulia uzi au wamekuomba?...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kila laheri wawakilishi wa Tz kwenye CAFCC.
 
Mechi zinazoamuliwa kwa bahati
 

usije kufikiri yanga atafungwa leo, bookies/Vegas hawajawahi kukosea odds.
Na ukiona odds kubwa imetoa tambua hiyo match ni fixing
 
Hebu lia kimya kimyaa, sisi hatutaki kelele zenu hapa,
Monastir wana wasubiri hukoo, simba hatuhusiki na sio shida zetu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Poleeeeeeniiiiii
Mnatamani mechi iwee saaa saba mnaona kama inachelewa.
 
Unachokifanya si kizuri! Naomna wahusika waufute uzi huu. Wewe ni mshabiki wa Simba acha wenye Yanga yao waendelee kama jana walivyowaheshimuni
Yeyote anaruhusiwa kuanzisha uzi wa timu yeyote hata angekuwa mshabiki wa Azam au Ihefu bado hakuna kosa jukwaa huru hili
 
Ushindi ndio jadi yetu
 
Uzalendo mm sina acha yanga wafinywe ili wawe na adab na mkubwa ..maaana wanadharau sana ..subiri niendeleee kushangilia kila siku maaana mpaka wiki inaisha daily nashabgilia kigoli kimoja ...
 
Yanga anashinda leo.
Ila tunahofia zile tunguli za jana hatuna uhakina kama walirogwa Horoya pekeyao, zisije kutudhuru sisi wananchi.

Mje muondoe vitu vyenu hapa kwa Mkapa. Wananchi tunataka kuutumia ule wembe tulioutumia kwa Zalan.
Halafu Jana nmeona mipira iliyokua inatumika ni Ile iliyoandikwa Simba kwa makapen sijawah kuliona hili hivi ni maagizo au Kuna utaratibu gani kuhusu mipira inayotumika uwanjan
 
Halafu Jana nmeona mipira iliyokua inatumika ni Ile iliyoandikwa Simba kwa makapen sijawah kuliona hili hivi ni maagizo au Kuna utaratibu gani kuhusu mipira inayotumika uwanjan
Leo na nyie nendeni mkaiandike Yanga, ili zile goli saba zijirudie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…