Zalan tu ulishindwa kumpiga saba, hawa Monastir je ,Simba wameroga mvua ili Yanga asipige 7
Unabet auπ€Yanga 2 - 1 Monastir
Haijawahi kuwa na mpira mzuri haunaga mvutoYaan yanachojua ni kujioverwork kama wanacheza rugby
Uwanja si ule ule?Hivi hawa waarabu wamelogwa nini?? Hii mvua sio ya kawaida kuna namna
[emoji2][emoji2]hii kashfa sasaJuma lokole
una utindio WA ubongo sio bureUto wana mdomo thana kila lakheri monasterie
Unaskiliza wachambuzi mashoga wa Bongo? Washapewa hela na Gsm kuna niniMbona hawa ndio waliokuwa wanasifiwa kuwa wanacheza mpira mzuri ila sisi ndio tunacheza hovyo na kushinda kwa tabu?
Ila point tatu ndo muhimuYaani kama wanacheza watt wa sekondari copa cocacola
Maji na vyura si unajua ndo maskani?? π π πUwanja si ule ule?
Wanaogelea maji wote
Au sio?Kama wanaume kweli mpigeni mtu saba,, tupo palee
Huna adabu mkeπMaji na vyura si unajua ndo maskani?? π π π
Kaa tusheherekee ushindi kwanza π π π π π π[emoji23][emoji23] Niliyajua haya my furend acha nilale zangu mie
Ingia ucheze weweHivi hawa waarabu wamelogwa nini?? Hii mvua sio ya kawaida kuna namna
Mi naenjoy tuu hapa kuupeleka uzi utembeeeπHuna adabu mkeπ
Jana mmeona jua basi leo mnatamba mpaka mnasahau kuwa Mtapoteza mechi zote zinazofuataUnaskiliza wachambuzi mashoga wa Bongo? Washapewa hela na Gsm kuna nini