Pira majimaji na topeeeeeIla watu wanachekesha
Kwani sisi tunacheza kwenye uwanja mkavu?
Si ni huohuo uliolowa
Makolo tulieni
Mpira mzuri upo yanga
Pira biriani
Pira Pizza
Pira Kama lote
Wananchiiii [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji91]
Usipoteze muda wako mkuu,Hawa Wana wivu na Yanga Kwa kuwa anazifunika zile tambo zao za wao kuwa ni wakimataifa peke yaoHili kombe mnaliponda ila ndio lilotoa thamani yenu kutokana na kupania kwenu mpaka mkaamua kulidhalilisha taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja,tena kwenye nchi ya watu ujasiri huu ni waajabu haijawahi kutokea timu yoyote kufanya kama mlivyofanya nini,kufanya ushirikina kama lio ufanya nyinyi South Africa.
Mmewatia hasara wenzenu kukarabati pichi yao upya,chaki za kati zikabadilika na kuwa nyeusi.
Hongereni sanaNdiyo kichaka kilichobaki na nacho ipo siku tutakichoma
Tunaongelea CL vs Ndondo Cup ya CAF,usijitoe ufahamu mtaniNyie tuwanyooshe kwanza kwenye Ligi,kwani mwezi ni mbali basi,mkuu hicho kichaka chenu kipakeni kilainishi tunakuja kukilala
Hawaamini macho yaoooSisi ni Yangaaaaaaaaaaaaaa
π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Jana mlikua mnaponda hivi hivi leo sisi mnatuambia tuna wivu jamani..kaeni na nyie tuwakereeee..tuwakosoee mpk mkome πππUsipoteze muda wako mkuu,Hawa Wana wivu na Yanga Kwa kuwa anazifunika zile tambo zao za wao kuwa ni wakimataifa peke yao
Hawaamini mwarabu kafa nyumbani
Wanatembelea nyota ya mnyamaHongereni sana
Kwanini mechi za away huwa hamshindi? Mpaka sasa mechi ya away ni mmoja tu mlishinda
Kuna jamaa mmoja wa Yanga alisema " Uwanja atakaocheza Simba, Yanga akicheza lazima ashinde"
Mpaka sasa nimeamini. Huyu monastri kwanini msingemfunga kwao na hapa akala dozi kama bamako?
Ahahaaah,nakwambia hivi kama ni Ndondo nini kinakuuma Yanga kufuzu roboTunaongelea CL vs Ndondo Cup ya CAF,usijitoe ufahamu mtani
Yule mmiliki anawaza kuchukua nchi hana time na timuSijui tatizo ni Nini aisee...ujue Kuna time u feel bad for them licha ya ule msemo wa adui muombee njaa
Angeenda kucheza yeye badala ya YangaWanatembelea nyota ya mnyama
A ushindi hu japp nyie ni walozi wazuri hamjaniridhisha jamani bestyUsipoipenda Yanga wewe ni mchawi... ππ°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Hawaamini macho yao9oooooUsipoipenda Yanga wewe ni mchawi... ππ°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Kama hehe ni tajir kweli kinamshinda Nini hata kama Hana time si aweke tu fungus watu wafanye kaziYule mmiliki anawaza kuchukua nchi hana time na timu
Simba yupo ligi ya mabingwa alikuwa mshindi wa nini?Mnacheza kombe la walioshindwa club bingwa tu matambo kama yote ingekuwa mnacheza kombe la washindi si mngekuwa hapatoshi?
Msimu unaokuja jitahidi mcheze club bingwa maana washindi wapo huko.
Kuna jamaa mmoja wa Yanga alisema hivi "uwanja anaocheza simba, akicheza yanga lazima ishinde"
Hapa ukiangalia mechi alioshinda Yanga away ni Moja tu mpaka sasa. Nasema uongo ndugu zangu?
Jana mlikua mnaponda hivi hivi leo sisi mnatuambia tuna wivu jamani..kaeni na nyie tuwakereeee..tuwakosoee mpk mkome πππ
Hawa hawa waliomshindwa vipers ?Ma middle yako Mzamiru mvunja kuni ball control hana jiandaeni, kutetea brand yenu la sivyo zitawahusu za Horoya wale Raja hawana mchezaji mbovu.