FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Ila watu wanachekesha

Kwani sisi tunacheza kwenye uwanja mkavu?
Si ni huohuo uliolowa
Makolo tulieni


Mpira mzuri upo yanga
Pira biriani
Pira Pizza
Pira Kama lote

Wananchiiii [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji91]
Pira majimaji na topeeeee
 
Hili kombe mnaliponda ila ndio lilotoa thamani yenu kutokana na kupania kwenu mpaka mkaamua kulidhalilisha taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja,tena kwenye nchi ya watu ujasiri huu ni waajabu haijawahi kutokea timu yoyote kufanya kama mlivyofanya nini,kufanya ushirikina kama lio ufanya nyinyi South Africa.

Mmewatia hasara wenzenu kukarabati pichi yao upya,chaki za kati zikabadilika na kuwa nyeusi.
Usipoteze muda wako mkuu,Hawa Wana wivu na Yanga Kwa kuwa anazifunika zile tambo zao za wao kuwa ni wakimataifa peke yao
Hawaamini mwarabu kafa nyumbani
 
Ndiyo kichaka kilichobaki na nacho ipo siku tutakichoma
Hongereni sana
Kwanini mechi za away huwa hamshindi? Mpaka sasa mechi ya away ni mmoja tu mlishinda
Kuna jamaa mmoja wa Yanga alisema " Uwanja atakaocheza Simba, Yanga akicheza lazima ashinde"
Mpaka sasa nimeamini. Huyu monastri kwanini msingemfunga kwao na hapa akala dozi kama bamako?
 
Usipoteze muda wako mkuu,Hawa Wana wivu na Yanga Kwa kuwa anazifunika zile tambo zao za wao kuwa ni wakimataifa peke yao
Hawaamini mwarabu kafa nyumbani
Jana mlikua mnaponda hivi hivi leo sisi mnatuambia tuna wivu jamani..kaeni na nyie tuwakereeee..tuwakosoee mpk mkome 😆😆😆
 
Hongereni sana
Kwanini mechi za away huwa hamshindi? Mpaka sasa mechi ya away ni mmoja tu mlishinda
Kuna jamaa mmoja wa Yanga alisema " Uwanja atakaocheza Simba, Yanga akicheza lazima ashinde"
Mpaka sasa nimeamini. Huyu monastri kwanini msingemfunga kwao na hapa akala dozi kama bamako?
Wanatembelea nyota ya mnyama
 
Walikaa tayari, wakijua tunapoteza...
Hawaamini macho yao, wamepoteana...
🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
 
Mnacheza kombe la walioshindwa club bingwa tu matambo kama yote ingekuwa mnacheza kombe la washindi si mngekuwa hapatoshi?
Msimu unaokuja jitahidi mcheze club bingwa maana washindi wapo huko.
Kuna jamaa mmoja wa Yanga alisema hivi "uwanja anaocheza simba, akicheza yanga lazima ishinde"
Hapa ukiangalia mechi alioshinda Yanga away ni Moja tu mpaka sasa. Nasema uongo ndugu zangu?
Simba yupo ligi ya mabingwa alikuwa mshindi wa nini?
 
Back
Top Bottom