tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Pira majimaji na topeeeeeIla watu wanachekesha
Kwani sisi tunacheza kwenye uwanja mkavu?
Si ni huohuo uliolowa
Makolo tulieni
Mpira mzuri upo yanga
Pira biriani
Pira Pizza
Pira Kama lote
Wananchiiii [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji91]