Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Wivu gani ndugu?Usipoteze muda wako mkuu,Hawa Wana wivu na Yanga Kwa kuwa anazifunika zile tambo zao za wao kuwa ni wakimataifa peke yao
Hawaamini mwarabu kafa nyumbani
Acheni wimbo wetu ππWalikaa tayari, wakijua tunapoteza...
Hawaamini macho yao, wamepoteana...
π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Mwezi wa nane siyo mbali,hicho kichaka chao Cha kuwa wapo CL tutakifyekelea mbaliSimba yupo ligi ya mabingwa alikuwa mshindi wa nini?
Much appreciatedHongera mtani kwa kuweka historia ya kufika robo kwa mara ya kwanza.
Ni huzuniHongera mtani kwa kuweka historia ya kufika robo kwa mara ya kwanza.
Mvua imefanyajeYanga shukuruni mvua la sivyo mlikuwa hamtoboi
Yanga anacheza ligi ya walioshindwa. Alishindwa na nini?Simba yupo ligi ya mabingwa alikuwa mshindi wa nini?
Ungekuwa huna wivu usingekuwa hapaWivu gani ndugu?
Unamuonea wivu mtu anayecheza shirikisho? Unaendesha BMW halafu unamuonea wivu anayeendesha bajaji?
Jamaa wa Yanga alisema "Uwanja atakaocheza simba, yanga akicheza atashinda" Yanga ameshinda mechi ngapi za away? Simba mechi za away ameshinda ngapi?
Mkibadilisha kiwanja tu au mtangulie kucheza habari yenu imeishia hapo.
Ungekuwa huna wivu na Yanga usingekuwa hapaYanga anacheza ligi ya walioshindwa. Alishindwa na nini?
Uko wapiYanga anafungwa au sare,na ikishakuwa hivo maana yake ni kuwa Tp mazembe anashinda kule kwa Bamako na kisha anamsubiri yanga kwa hamu pale Lubumbashi amfanyie circumcision afikishe points 9 yanga abaki na points 7 au 8 zake.
Yanga hafuzu,nipo paleeee....
Hawaamini macho yaoooooWalikaa tayari, wakijua tunapoteza...
Hawaamini macho yao, wamepoteana...
π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Yupo milembe
..kwa mara ya kwanza toka uzaliwe umeishuhudia Utopolo ndani ya robo fainali ya CAFCC.Ndiyo kichaka chenu Cha kujifichia kilicho baki
Jamaa wa Yanga alisema "uwanja atakaocheza simba, yanga akicheza atashinda"Hili kombe mnaliponda ila ndio lilotoa thamani yenu kutokana na kupania kwenu mpaka mkaamua kulidhalilisha taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja,tena kwenye nchi ya watu ujasiri huu ni waajabu haijawahi kutokea timu yoyote kufanya kama mlivyofanya nini,kufanya ushirikina kama lio ufanya nyinyi South Africa.
Mmewatia hasara wenzenu kukarabati pichi yao upya,chaki za kati zikabadilika na kuwa nyeusi.
Bibie nimekuuliza swali kutokana na maelezo uliyoyatoa wewe mwenyeweYanga anacheza ligi ya walioshindwa. Alishindwa na nini?