[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata isipochezwa sisi haituhusu na sio shida zetu, tuko buzzy na shangwee la Robo final.Mnatamani mechi iwee saaa saba mnaona kama inachelewa.
Tawile tawile ila mlichokifanya Jana roho inauma
Taahira lililotukuka limeona sahihi kabisa kuwaita Binadamu wenzake mmbwa kama vile Ndugu zake wote ni Makolokolo, kweli umbumbumbu ni kipaji [emoji847]LOLOTE BAYA LIWAPATE MBWA WA UTOPOLO.
US MONASTIR NIPIGIENI HAO MBWA 2 TU.
KILA LA KHERI MONASTIR MUNGU IBARIKI AFRIKA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKwahiyo Mnatumia Ngumi Ipi Ndoige, Sunkunyo Ama Hii Mpya Kutoka Jangwa La Sahara
Habariii iwafikie na iwakee akilini.Ni muhimu kukumbushana; hili ni kombe la losers; Simba kule wanapambania Champions!
kwa uchungu huu ulionao bila shaka siku zako za kujifungua zimekaribia.Taahira lililotukuka limeona sahihi kabisa kuwaita Binadamu wenzake mmbwa kama vile Ndugu zake wote ni Makolokolo, kweli umbumbumbu ni kipaji [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ongezaa sautiiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadae nisisikie kelele za waarabu ni wagumu sijui nini na nini... hata mnyama alishawatandika waarabu hapo taifa vizuri sana tu.
Nachomaanisha, sitaki visingizio.
Unbeaten ipii nawee shouzzzzzz?? Usinichekesheee mie hapaaThe Unbeaten [emoji123][emoji123][emoji126]!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usikimbie baadae hapaaa.Reoo ni reooo sis [emoji123][emoji123][emoji123][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1732][emoji1732]
Na waarabu wanavopenda baridi na kucheza usiku.Mvua kama yote
Yanga kazi wanayo.
Nitakuepooo shossttt yaniii tunasubiria ushindriii tyuuu sieee 💃💃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usikimbie baadae hapaaa.