Wanawashwaaaa na simbaaaa, kila wakisikia ni lidudeeeee likuubwaaaa, wanateseka mnooo.Yani Sijui akili za mashabiki wa Yanga zipoje Sasa makolo wamefanya nini yani pasipo kuitaja simba mnakuwa yatima naona.
Huko CL na CC nyie mna kombe lolote!?Ongezaaaa sautiiiii
Nimeamua niongee maana mnatia huruma..Cha ajabu wewe unapost na kuiongelea Yanga au ww umeamua kuwa busy na ushindi wa Yanga.
Na nyie miongo yote mna kombe lolote huko kimataifa!?Yanga msiji sahaulishe hilo ni kombe la mbuzi, hivyo record yenu ya kukaa miongo na miongo bila kuingia makundi champions league bado ipo palepale
Unaumia na matokeo ukiwa wapi 😁Wanawashwaaaa na simbaaaa, kila wakisikia ni lidudeeeee likuubwaaaa, wanateseka mnooo.
Kwahiyo simba ndo makolo sio?Yani Sijui akili za mashabiki wa Yanga zipoje Sasa makolo wamefanya nini yani pasipo kuitaja simba mnakuwa yatima naona.
Naona unafanya self projection,ahahahajNimeamua niongee maana mnatia huruma..
Wachawi fcKwahiyo simba ndo makolo sio?
Huko CL una kombe lolote!?Hivi vitimu vya shirikisho vinatafuta kiki kwa mabingwa ili vijulikane lakini wapi!
Europa itabaki Europa tu na UEFA itabaki kwa mabingwa.
Nyie utopolo acheni kuendekeza utopolo
Waarabu na mpira wapi na wapi!Haya Gongowazi SC[emoji196] اليوم هو يومك لتلقي ضربة قاسية منهم US Monastir
Kweli inabidi mtusaidie makoti maana baridi kali ligi tupo juu na kwenye kundi tupo juu.Nimeamua niongee maana mnatia huruma..
Na uzi wetu wa mechi ushapotea. Wa simba ulikaa hapa mpka Leo saa 9 jioni
Una ujinga mwingi sana.Na radi kama zote. Kwa hii mvua Yanga kashapoteza hii mechi.
Mipang'ang'a endeleni kuteseka kama mipaka shume [emoji23]Wafungwe tu ili tukaendelee kumwagilia moyo na ukamilifu wa furaha yetu.
Simba Taifa kubwa
CD HII IMESHACHUJA.Kwahiyo wenye timu yao wako wapi..au mpaka timu ipate goli?! Yanga kujiamini sifuri kabisa..waiteni
Good talking for Uzalendo though you are the Simba Fan [emoji106]Wapigwe na lapili kuwatoa wenge kabisa
Vyura mmeweza kucheza vizuri kwenye madimbwi leo.