FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Mnacheza kombe la walioshindwa club bingwa tu matambo kama yote ingekuwa mnacheza kombe la washindi si mngekuwa hapatoshi...
Sijui ikitokea Yanga imebeba kombe na shirikisho halafu Simba ikaishia robo fainali, sijui maneno ya kombe la walioshindwa mtayaweka wapi. Unadharau michuano ambayo mmeshiriki na hamna kombe.

Kuhusu uwanja anaocheza Simba, akicbeza Yanga kushinda. Mbona mechi dhidi ya Al Hilal Yanga hakushinda? Au ulitumika uwanja ambao Simba hakucheza?

Yanga imecheza michezo minne away na imefungwa michezo miwili tu.
 
Sijui ikitokea Yanga imebeba kombe na shirikisho halafu Simba ikaishia robo fainali, sijui maneno ya kombe la walioshindwa mtayaweka wapi. Unadharau michuano ambayo mmeshiriki na hamna kombe.

Subiri kwanza mpaka hapo hiyo ndoto itakapotimia,kwa sasa tunasimama na maneno ya Msemaji wa Yanga.Confederation ni kombe la Losers
 
Huko CL una kombe lolote la maana!?
Wee unalo?? Hata losers enyewe umeingia makundi mwaka huu tangu 1998, ndo umebahatika kuingia robo.

CL unaitazama kwa TV tyuuh, utanambia nn wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga imefanikiwa kutinga katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, ni KENNEDY ndiye anaye sitahili sifa na pongezi zote kutokana na kuhusika katika magoli yote mawili, kufuatia bao na pasi aliyoitoa leo Jumapili dhidi ya Monastir kwenye Uwanja wa Mkapa jijini dar es salaam.

r/michezotanzania - YANGA YATINGA ROBO FAINALI
YANGA ROBO FAINALI

YANGA inatarajia kuvuta pesa ndevu kutoka shirikisho kutpkana na kitendo cha Yanga kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kitawafanya kuvuna dola 350,000 za CAF ambazo ni zaidi ya Sh milioni 800 ambazo hupewa kila kilabu iliyo fanikiwa kutinga katika hatua hiyo.

Musonda aliyesajiliwa katika kipindi cha dirisha dogo sasa anazidi kung'ara kutokana na kuwa madhubuti siku hadi siku, ameendelea kudhihirisha ubora wake akiwa na wana wa Jangwani young Africa kwa kuhusishwa katika matokeo muhimu yanayoifanya Yanga kuwa timu ya pili msimu huu kutoka Tanzania kutinga robo fainali ya michuano ya Kimataifa.

Mshambuliaji huyo na nyota wa kimataifa kutoka Zambia alibadilisha hisia za mashabiki na nyuso zenye huzuni na kuwapa furaha baada ya kuifanya Yanga kwenda mapumziko ikiwa na bao 1-0 alilofunga dakika ya 33 kabla ya kutoa pasi ya mwisho katika kipindi cha pili baada ya mapumziko kwa Fiston Mayele dakika ya 59.

SOMA ZAIDI FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023
 
Mpira ni mchezo wa timu watu 11, sasa unaposema Musonda apewe sifa zote unamaanisha nini. Mpira umetoka kwa beki, kiungo na mwisho winga. Kwa hiyo hata aliyetoa pasi ya goli hastahili sifa. Nafikiri mechi inayokuja acheza Musonda peke yake.
 
hili bandiko linachekesha
pale mwana simba anapojaribu zungumzia yanga na kuogopa kivuli cha mayele

hata usipo mtaja, tukikutana anawapasua tena
 
Fupa lililomshinda FISI (Simba) ndiyo umkabidhi CHUI (USM) kulitafuna?

Endeleeni kuwa Mipang'ang'a kwa kukaza tu mafuvu.

Yanga hii si ile ya migogoro ya kiuchumi hadi kupitisha kapu la michango kwa Wananchi ndiyo ijiendeshe, la sivyo Makolokolo mtaendelea sana kupata sonona [emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unavyo niqoute kila sehemu...pambeni na li timu lenu sisi bado tumelala...
 
Utoto raha sana, hadi unajipinda kuleta Edited photos? Kweli inabidi Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Manyaunyau/Madunduka/Makelele/Mipang'ang'a/Mikia/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume/Ngada muombewe [emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
edit photo eti,nenda youtube kule kaangalie mechi Yanga Vs Wydad AC uone maandamano ya magoli mliyopigwa😅😂
records zipo azifichiki.
 
Wee unalo?? Hata losers enyewe umeingia makundi mwaka huu tangu 1998, ndo umebahatika kuingia robo.

CL unaitazama kwa TV tyuuh, utanambia nn wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aahahhaah
 
Back
Top Bottom