Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
haa,,hapo umepigwa mzee baba.Nyani huwa haoni kundule [emoji1]View attachment 2558650
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
mwaka 1938 apakua na ligi inaitwa "tpl",,kulikua na michuano inaitwa sunlight cup😂
1964 ikaanzishwa ligi ya taifa(ligi kuu),bingwa wa kwanza kubeba iyo ligi ya taifa ni Sundarland(Simba)alibeba mfululizo 1965 na 1966.
bbc sio watu,kuwalisha matango pori sio sawa😅😂