FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Huyo si Malaika, acha kuangalia Mtu alipoangukia (event) bali angalia alipojikwaa (source) na ndiyo hekima katika maamuzi.

Mipang'ang'a huwa mnajifanyaga watakatifu ila hakuna Viumbe vinafki kama ninyi

Mbona Scars hajawahi kushambuliwa na matusi kama huyo unayemtetea?

Tafakari, Chukua hatua sahihi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tunajivunia kuwa na Jiniazi kama wewe
 
Waarabu hawa washalogwa wamekua mdembendembe...yani hii yanga nzitoo mnashindwa kuwapiga hata bao 5 kweli?
Fupa lililomshinda FISI (Simba) ndiyo umkabidhi CHUI (USM) kulitafuna?

Endeleeni kuwa Mipang'ang'a kwa kukaza tu mafuvu.

Yanga hii si ile ya migogoro ya kiuchumi hadi kupitisha kapu la michango kwa Wananchi ndiyo ijiendeshe, la sivyo Makolokolo mtaendelea sana kupata sonona [emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hilo timu bovu kabisaaa
Ogopa sana Technology[emoji28]
Screenshot_2023-03-20-00-47-07-81_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa alikuja akipewa sifa kubwa sana ambazo zilimuweka katika wakati mgumu kwasababu wadau walikuwa wanataka kumlinganisha na Chama

Na yeye alitaka kupita na trend hiyo kuwathibitishia watu kuwa kweli yeye ni bora kuliko Chama mwisho wa siku amejikuta yupo kwenye pressure kubwa
Mara hii tu mmeshatoka kwa Feisal na Musonda tena na kuhamia kwa Aziz Ki? [emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna zile pasi Kofi.. (Outer pass) hakuna pira kuzungurukiwa kwa juu.. Hakuna TECHNICAL TACKLES kama za Inonga.

Hakuna Penetration skills and dribbling skills kama za Chama hakuna zile stop stop.. Finya punguza chapa kibao.
Hizi zilienda likizo Simba ilipocheza na Raja Casablanca au shida ilikuwa ni nini Mchambuzi uchwara wa soka la Bongo toka Vingunguti TZ? [emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
kileleni kuna baridi sana
Mara ya MWISHO Makolokolo kukaa juu kwenye baridi kali sana ni 2020 VPL.

Mara ya MWISHO Makolokolo kumfunga Yanga FC kwenye ligi kuu TZ ni 2019.

Yanga anaendelea kuinjoy upepo mwanana kabisa sababu ni tabia yake kukaa juu zaidi kama TAI, Ndugu yetu Makolokolo sasa [emoji87][emoji16]
JamiiForums-417976527.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yanga anafungwa au sare,na ikishakuwa hivo maana yake ni kuwa Tp mazembe anashinda kule kwa Bamako na kisha anamsubiri yanga kwa hamu pale Lubumbashi amfanyie circumcision afikishe points 9 yanga abaki na points 7 au 8 zake.

Yanga hafuzu,nipo paleeee....
Dua la kuku, Yanga ndio anaongoza kundi lake paka Sasa[emoji23][emoji23]
 
Hili kombe mnaliponda ila ndio liloitoa thamani yenu kutokana na kupania kwenu mpaka mkaamua kulidhalilisha taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja,tena kwenye nchi ya watu ujasiri huu ni waajabu haijawahi kutokea timu yoyote kufanya kama mlivyofanya nyinyi,kufanya ushirikina kama mlio ufanya nyinyi South Africa.

Mmewatia hasara wenzenu kukarabati pichi yao upya,chaki za kati zikabadilika na kuwa nyeusi.
Hoja hii ipigwe Lamination...[emoji119][emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Na kushangazwa utaendelea kushangazwa sana na hii timu. Tangu ya kule Tunisia na Club Africain mpaka leo na USM.
Jamaa wamepiga shot 1 na hawakuwa na shot on target hata 1 mechi nzima, hahahah. Nabi kanunua mechi hii kutoka kwa ndugu zake.
 
Hi
Kwan hata mechi ya kwanza TUNISIA walikuwa na kiwango gani SEMA imekutana na TIMU yenye KIWANGO ndo mana wakapoteana
Kule TUNISIA kwao zile tu goli 2 za faster walizopata mwanzoni
Kinyume na hapo tuliupiga mpira mwingi na tena walikuwa kwao
Yanga ipo VIZURI mechi zote za tulizocheza MAKUNDI tumelipiga boli si kitoto

Robo FAINALI kwa hizi timu ambazo zishapita hakuna Timu ya kuizuia YANGA

FAR rabati. MOROCO
Rivers united NIGERIA
Asec mimosac IVORY COAST
Us monastry TUNISIA
Marumo gallant SOUTH AFRCA
Hizi kauli hizii "Robo FAINALI kwa hizi timu ambazo zishapita hakuna Timu ya kuizuia YANGA" Hayaa!!
 
Back
Top Bottom