Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Bado upo umekaa kichawi hapo?Hamshindi leo nimekaa pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado upo umekaa kichawi hapo?Hamshindi leo nimekaa pale
una andika kwa uchungu sanaMonastri kapumzisha wachezaj 6 wa first eleven[emoji1593]
Tunajivunia kuwa na Jiniazi kama weweHuyo si Malaika, acha kuangalia Mtu alipoangukia (event) bali angalia alipojikwaa (source) na ndiyo hekima katika maamuzi.
Mipang'ang'a huwa mnajifanyaga watakatifu ila hakuna Viumbe vinafki kama ninyi
Mbona Scars hajawahi kushambuliwa na matusi kama huyo unayemtetea?
Tafakari, Chukua hatua sahihi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Fupa lililomshinda FISI (Simba) ndiyo umkabidhi CHUI (USM) kulitafuna?Waarabu hawa washalogwa wamekua mdembendembe...yani hii yanga nzitoo mnashindwa kuwapiga hata bao 5 kweli?
We mwenyewe ungekuwa Yanga ungenawiri sana, wala hiyo si sura yako halisi isipokuwa ni shida zako tu na Makolokolo yako [emoji3]Yani mnabahati na hii mvua leo mngepigwaaaaaaa
Ogopa sana Technology[emoji28]Hilo timu bovu kabisaaa
Mara hii tu mmeshatoka kwa Feisal na Musonda tena na kuhamia kwa Aziz Ki? [emoji1]Huyu jamaa alikuja akipewa sifa kubwa sana ambazo zilimuweka katika wakati mgumu kwasababu wadau walikuwa wanataka kumlinganisha na Chama
Na yeye alitaka kupita na trend hiyo kuwathibitishia watu kuwa kweli yeye ni bora kuliko Chama mwisho wa siku amejikuta yupo kwenye pressure kubwa
Lakini bado uliling'ang'ania kuliangalia au siyo?Pira mpoozoo...
Sasa rasmi Mtani we ndiye Msemaji Mkuu wa Yanga FC kuanzia leo hii...[emoji23]Ndombolo ya solo imemaliza kucheza kwa ushindi mwembamba...najua hawana furaha
Hizi zilienda likizo Simba ilipocheza na Raja Casablanca au shida ilikuwa ni nini Mchambuzi uchwara wa soka la Bongo toka Vingunguti TZ? [emoji2]Hakuna zile pasi Kofi.. (Outer pass) hakuna pira kuzungurukiwa kwa juu.. Hakuna TECHNICAL TACKLES kama za Inonga.
Hakuna Penetration skills and dribbling skills kama za Chama hakuna zile stop stop.. Finya punguza chapa kibao.
[emoji38]ujaona visigino
ujaona kanzu
ujaona skills goli la kwanza
hayo yote anafanyiwa mwarabu achana na ma bwana miti wa jana
Mara ya MWISHO Makolokolo kukaa juu kwenye baridi kali sana ni 2020 VPL.kileleni kuna baridi sana
Dua la kuku, Yanga ndio anaongoza kundi lake paka Sasa[emoji23][emoji23]Yanga anafungwa au sare,na ikishakuwa hivo maana yake ni kuwa Tp mazembe anashinda kule kwa Bamako na kisha anamsubiri yanga kwa hamu pale Lubumbashi amfanyie circumcision afikishe points 9 yanga abaki na points 7 au 8 zake.
Yanga hafuzu,nipo paleeee....
Rekodi za HAMSA HAMSA HAMSA zinatosha, nakukumbusha tu...[emoji2960][emoji4]Hata tukifungwa hatuwezi vunja rekodi yenuView attachment 2558457
Hoja hii ipigwe Lamination...[emoji119][emoji847]Hili kombe mnaliponda ila ndio liloitoa thamani yenu kutokana na kupania kwenu mpaka mkaamua kulidhalilisha taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja,tena kwenye nchi ya watu ujasiri huu ni waajabu haijawahi kutokea timu yoyote kufanya kama mlivyofanya nyinyi,kufanya ushirikina kama mlio ufanya nyinyi South Africa.
Mmewatia hasara wenzenu kukarabati pichi yao upya,chaki za kati zikabadilika na kuwa nyeusi.
[emoji3]Kuna watu namba mbili kwao ni kama uji na mgonjwa,,kwenye kundi lao ni no 2 kwenye ligi no 2
uko wapi tujeYanga anafungwa au sare,na ikishakuwa hivo maana yake ni kuwa Tp mazembe anashinda kule kwa Bamako na kisha anamsubiri yanga kwa hamu pale Lubumbashi amfanyie circumcision afikishe points 9 yanga abaki na points 7 au 8 zake.
Yanga hafuzu,nipo paleeee....
Nyani huwa haoni kundule [emoji1]ehee hayo ndo[emoji115]maneno ya utani wa jadi sasa.
mimi ndugu yangu historia hii imeniuma sana,hivi mlikua pungufu ama?[emoji116]View attachment 2558513
Jamaa wamepiga shot 1 na hawakuwa na shot on target hata 1 mechi nzima, hahahah. Nabi kanunua mechi hii kutoka kwa ndugu zake.Na kushangazwa utaendelea kushangazwa sana na hii timu. Tangu ya kule Tunisia na Club Africain mpaka leo na USM.
Hizi kauli hizii "Robo FAINALI kwa hizi timu ambazo zishapita hakuna Timu ya kuizuia YANGA" Hayaa!!Kwan hata mechi ya kwanza TUNISIA walikuwa na kiwango gani SEMA imekutana na TIMU yenye KIWANGO ndo mana wakapoteana
Kule TUNISIA kwao zile tu goli 2 za faster walizopata mwanzoni
Kinyume na hapo tuliupiga mpira mwingi na tena walikuwa kwao
Yanga ipo VIZURI mechi zote za tulizocheza MAKUNDI tumelipiga boli si kitoto
Robo FAINALI kwa hizi timu ambazo zishapita hakuna Timu ya kuizuia YANGA
FAR rabati. MOROCO
Rivers united NIGERIA
Asec mimosac IVORY COAST
Us monastry TUNISIA
Marumo gallant SOUTH AFRCA