Sijui ikitokea Yanga imebeba kombe na shirikisho halafu Simba ikaishia robo fainali, sijui maneno ya kombe la walioshindwa mtayaweka wapi. Unadharau michuano ambayo mmeshiriki na hamna kombe.Mnacheza kombe la walioshindwa club bingwa tu matambo kama yote ingekuwa mnacheza kombe la washindi si mngekuwa hapatoshi...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Weka hapa hilo kombe la walioshindwa kama we Kolowizards unalo, domo reefu kama chuchunge [emoji16]View attachment 2558607
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sijui ikitokea Yanga imebeba kombe na shirikisho halafu Simba ikaishia robo fainali, sijui maneno ya kombe la walioshindwa mtayaweka wapi. Unadharau michuano ambayo mmeshiriki na hamna kombe.
Juzi mtu alivyolishwa 7 taifa lilinuna?Yanga imeshinda taifa limefurahi makolo wamenuna
Yanga ni wananchiJuzi mtu alivyolishwa 7 taifa lilinuna?
Taifa lilifurahi Simba ilivyotinga Robo fainali ya CL tena kibabe.Jana ilikuwa ni bonus tu hakukua na umuhimu wowoteYanga imeshinda taifa limefurahi makolo wamenuna
Quarter final ndio mwisho wenu hamuwezi kutoboa mbele ya masandawanaTaifa lilifurahi Simba ilivyotinga Robo fainali ya CL tena kibabe.Jana ilikuwa ni bonus tu hakukua na umuhimu wowote
Wee unalo?? Hata losers enyewe umeingia makundi mwaka huu tangu 1998, ndo umebahatika kuingia robo.Huko CL una kombe lolote la maana!?
Dada jibu swali basiYanga umeshinda taifa limefurahi makolo wamenuna
Yanga ni wananchi
Pesa za netball siyo bana aah 😀😀Magoli pesa
Mimba inakusumbua bi mkubwaDada jibu swali basi
Unavyo niqoute kila sehemu...pambeni na li timu lenu sisi bado tumelala...Fupa lililomshinda FISI (Simba) ndiyo umkabidhi CHUI (USM) kulitafuna?
Endeleeni kuwa Mipang'ang'a kwa kukaza tu mafuvu.
Yanga hii si ile ya migogoro ya kiuchumi hadi kupitisha kapu la michango kwa Wananchi ndiyo ijiendeshe, la sivyo Makolokolo mtaendelea sana kupata sonona [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Utachoka na mimi mkuu bora uwe unapita kwa speed...inaonekana nakuumiza sana kwa comments zangu..usije pata kiharusi mzee...Akili zikishakuwa za kichawichawi haziwezi kuwaza tofauti nnje ya boksi [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
edit photo eti,nenda youtube kule kaangalie mechi Yanga Vs Wydad AC uone maandamano ya magoli mliyopigwa😅😂Utoto raha sana, hadi unajipinda kuleta Edited photos? Kweli inabidi Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Manyaunyau/Madunduka/Makelele/Mipang'ang'a/Mikia/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume/Ngada muombewe [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ukiona mimba zinakusumbua basi unadhani kila mtu anabeba mimba,Mimba inakusumbua bi mkubwa
Sawa dada ashura kundambi,dada mwenye tako lakeUkiona mimba zinakusumbua basi unadhani kila mtu anabeba mimba,
AahahhaahWee unalo?? Hata losers enyewe umeingia makundi mwaka huu tangu 1998, ndo umebahatika kuingia robo.
CL unaitazama kwa TV tyuuh, utanambia nn wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]