Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
taarifa kutoka kambi ya monastri ni kwamba wameshitushwa sana na kipigo kilichowapata horoya hapo jana, hivyo basi hawako tayari kufungwa kwa namna yoyote ile ili kulitia aibu taifa lao, ..Tunisia kwanza mambo mengine baadae