Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchiiii [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Hapana, Mkuu, hii si mara ya kwanza kwa OKW BOBAN SUNZU kuanzisha nyuzi Yanga inapocheza.Unajua uungwana ni ku declare interest! Hakupaswa kuanzisha huu uzi! Yeye ni mnazi wa simba.
Ukaona utoe ya moyoni [emoji23]Kwa mbiiindeeee
Kwahiyo tufanyeje sasaMuda kama huu jana chama ana hat Trick [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tunatafuta matatu tu, 🤔 Sio ile rede mliyocheza jana😂Yaani leo Uto mshinde hii game hata bao moja na msilazimishe kutafuta mabao mengi hapana kwani mutawafanya wachezaji kuwa na pressure muhimu ni point tu vinginevyo mtasumbuka sana.
Hapana, fatilia mechi zao hawa ndug zetu.. Hawana zile pasi peresuperesuLabda pengine ya uwanja kujaa maji
Wazee wetu walikuwa na maono ya mbali sana
Cha ajabu wewe ndo' umeanza kutoa visingizio sasa.Baadae nisisikie kelele za waarabu ni wagumu sijui nini na nini... hata mnyama alishawatandika waarabu hapo taifa vizuri sana tu.
Nachomaanisha, sitaki visingizio.
Soka tamu walitoe wapi, unasikiliza wacha-mbuzi waganga njaa mjini hapaYanga hawana SOKA tamu.. Tuseme ukweli
Hamkasagi visingiziooKwa mbiiindeeee nasikia mmemwaga mavi ya nguruwe uwanjani 😆
Mbona hawa ndio waliokuwa wanasifiwa kuwa wanacheza mpira mzuri ila sisi ndio tunacheza hovyo na kushinda kwa tabu?Hapana, fatilia mechi zao hawa ndug zetu.. Hawana zile pasi peresuperesu
Kula nyama nyamazaView attachment 2558397
Acha wauane tu huko,hayatuhusu....Congo tunaenda kula pikiniki tuView attachment 2558394
Timu yangu ya utotoni hali siyo nzur
Yaan yanachojua ni kujioverwork kama wanacheza rugbySoka tamu walitoe wapi, unasikiliza wacha-mbuzi waganga njaa mjini hapa
Umeongea kitu nje ya box.....wachezaji wa ndani wana la kujifunza mkuu..sio upumbavu huu waakina FEI TOTO ndio Kwa nidham hii unadhan watafika wapi??Local players wetu wajifunze commitment za foreign players Yanga, simba + Azam...
Haya mashindano wenzetu Wakongo na Wazambia wako sokoni