Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sasa naanzaje shem...mimi na madimbwi ya maji wapi na wapiIngia ucheze wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa naanzaje shem...mimi na madimbwi ya maji wapi na wapiIngia ucheze wewe
Ndiyo wenye nchi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰Wananchiiii [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
KAMA KAMA YAKO ULIVYOKUZAA WEWE CHOONI?Bora hata mamaako angekuzaa chooni tu Kenge wa kike wewe [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Subirini yarudi yote mtakufa humuBado dakika ngapi huko?
Mbwa popote ulipo, karibu ubweke tena.LOLOTE BAYA LIWAPATE MBWA WA UTOPOLO.
US MONASTIR NIPIGIENI HAO MBWA 2 TU.
KILA LA KHERI MONASTIR MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Goli la tatu lipo hapoKisinda in,Ki in
Hapana [emoji23] nipo zangu nasinzia acha niwaachie ushindi wenuKaa tusheherekee ushindi kwanza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hii rekodi ndio naisikia kwako
Hawana maajabu zaidi ya vigimbi tuuKisinda in,Ki in
🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️[emoji8][emoji8][emoji8]
Nyie mara ya mwisho kushiriki haya mashindano tunayocheza SISI ilikuw lini? Na mlifika hatua gani?Jana mmeona jua basi leo mnatamba mpaka mnasahau kuwa Mtapoteza mechi zote zinazofuata
Aende nao wapi?Boubacar traoure amesema leo anataka aondoke na mpira Tanzania.View attachment 2557694
Hamna timu hapo, niamini. Yanga walienda kule kwa hofu wakikumbuka mechi yao na Club Africain ilivyoisha.
Leta timu yako mtani. Umetushindwa mara sita mfululizo, alikuroga nani?Hivi hawa waarabu wamelogwa nini?? Hii mvua sio ya kawaida kuna namna
Uliwanga nini?Ee Mwenye Enzi ..nisamehe kwa makosa nilotenda.. ila naomba.. utupe ushindi..
AMEN .
Kamsaidie aupate mpira maana mabeki hao ulowataja wamemshika kalio.kwa mabeki wale kina Joyce mpira ni wake kabisa mia fil mia.