Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mnapendaga tu kusikia yanayowafurahisha!Hii rekodi ndio naisikia kwako
Acha uchawi basiSubirini yarudi yote mtakufa humu
Mngefunga 7 ingekuwaje?jezi nyeusi zichunguzwe sio kwa kipigo hiki
😂😂😂Karibu ulijificha wapi?Hawana maajabu zaidi ya vigimbi tuu
Huyo anaota ...
Sanaaa.Kwa hali ya hewa ya saizi navyoiona, Yanga watacheza mpira katika mazingira magumu sana
Kombe la KUKUwanacheza wanao jua sio malofa kama jana
Nilikua mbali mm nipo na nyinyi bega kwa bega😂😂😂Karibu ulijificha wapi?
Haki tenA .. niombee..Mkuu nacheka kama mazuri
Azizi ki Mwanaumeeee!! 💪💪💪Wapi aziza k chidomo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huyo anaota ...
uliishia wap mwaka janaKombe la KUKU
Umebeti? Nambie kwanza umefanya nini ili nistopishe hawa waarabu wabaguzi warudi bila kituHaki tenA .. niombee..
mimi simba na MBWA NI MASHABIKI WOTE WA UTOPOLO - LUC EYMAEL.Mbwa popote ulipo, karibu ubweke tena.
AahahahahahSasa naanzaje shem...mimi na madimbwi ya maji wapi na wapi
Azizi ki Mwanaumeeee!! [emoji123][emoji123][emoji123]