Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezaaaa sautiiiiiYanga msiji sahaulishe hilo ni kombe la mbuzi, hivyo record yenu ya kukaa miongo na miongo bila kuingia makundi champions league bado ipo palepale
Hongereni kwa ushindi mwembamba, mmeanza kuweka records now. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitakuepooo shossttt yaniii tunasubiria ushindriii tyuuu sieee [emoji126][emoji126]
Akhsanteeeeeee sanaa💃Hongereni kwa ushindi mwembamba, mmeanza kuweka records now. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamesikiaa japo wanaipita kimya kimya hii postOngezaaaa sautiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamesikiaa japo wanaipita kimya kimya hii post
Bas hapo roho kwatuuuu.Akhsanteeeeeee sanaa[emoji126]
Uwanja umefanyaje? Si mngeacha kuchezaUmeona uwanja ulivokuwa lakini au unaongea tu
Cha ajabu wewe unapost na kuiongelea Yanga au ww umeamua kuwa busy na ushindi wa Yanga.Yanga kaingia robo fainali yani ni kama hamna kilichotokea, kimya watu bado wapo bize na ushindi wa jana,, ushindi mkubwa dhidi ya timu kubwa kwenye mashindano makubwa ya caf champions league,, ushindi wa kihistoria kwenye mechi yenye kuamua hatma. Anyways hongereni ila kwanini hamtaki kutuelewesha, sisi tunaitambua champions league pekee nyie wenzetu huko kwingine mnashirikishana nini ??
Sawa mtoto wa tajiri una nafasi ngapi Hadi Sasa😁Mnaharibu Jamii forum.
Mnaharibu mpira.
FIFA KUNA KAULI MBIU YA FAIR PLAY.
mpira sio matusi Wala kutukanana.
Mmefika Robo Fainali umeambilia nini??????...
WATOTO WA MATAJIRI WANAANDALIWA NAFASI NYINYI MNAZIDI KUBISHANA SIMBA NA YANGA.
AIBU KUBWA SANA
Makolo😁😁😁😁Kuna timu ya hapa Bongo imetinga robo fainali kwa kishindo lakini mashabiki wake hawana furaha!
Watapigwa kama ngoma robo fainali!
Kumbe unazungumzia history 😁😁ehee hayo ndo👆maneno ya utani wa jadi sasa.
mimi ndugu yangu historia hii imeniuma sana,hivi mlikua pungufu ama?👇View attachment 2558513
Ukitaka nikujibu Hilo swalinna miye nijibu moja tu:mna kombe lolote huko CC au CL!?Yanga kaingia robo fainali yani ni kama hamna kilichotokea, kimya watu bado wapo bize na ushindi wa jana,, ushindi mkubwa dhidi ya timu kubwa kwenye mashindano makubwa ya caf champions league,, ushindi wa kihistoria kwenye mechi yenye kuamua hatma. Anyways hongereni ila kwanini hamtaki kutuelewesha, sisi tunaitambua champions league pekee nyie wenzetu huko kwingine mnashirikishana nini ??
Ila umeipitisha Yanga kwenda RoboUshindi mwembamba wa reli
Ndo ushangaeCha ajabu wewe unapost na kuiongelea Yanga au ww umeamua kuwa busy na ushindi wa Yanga.