FT: Yanga SC 2-1 Jamus FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 02/01/2024

Wachezaji wetu wakikosi cha pili watachezg kama kawaida, ila kule makoloni wanaua vipaji vya vijana kombe la mapinduzi akina bareke saido onana wa nini sasa
Simba anacheza na bingwa mtetezi sasa nyie hivyo vitimu mnavyocheza navyo mtahesabu ni timu kweli?
 
Jamus, na nyinyi mjiandae kupokea zawadi yenu ya mwaka mpya kutoka kwa Wananchi. Yaani ile ya ✋
Na kama hamuelewi ni zawadi gani, basi waulizeni tu simba, KMC, Jamhuri, na wengineo wengi! Watawaambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…