FT: Yanga SC 2-1 Jamus FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 02/01/2024

FT: Yanga SC 2-1 Jamus FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 02/01/2024

Matokeo hayapangwi hutokea.

Hivi Saudia ilipowafunga Argentina 2-1 wewe ungekuwa ndiyo Kocha wa Argentina sijui ungesemaje!!??
Nimekuuliza kuhusu simba sc wewe unaleta mambo ya Argentina hauna hoja wewe ngoja nikuache uendelee kujieleza tu hapa hivi ujamskia kocha jana akilalamika au upo upo tu
 
Bingwa wa ligi ya Sudan kisini huyo.
Labda uniambie wewe, Simba ni bingwa wa ligi gani?
Sudani kusini? Kuna ligi huko? Huko ni sawa na somalia tu, halafu sijaulizia bingwa nimeulizia ligi.
 
Back
Top Bottom