Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Leo ni mechi ya kitoto tena, mechi ya kikubwa ilikuwa jana yaani full ushindani.Wazee wa kupeleka moto.
Uto wanapambana kwa kutupa mabomu mochwari, wana lunyasi wanapambana kwa kutupa mabomu katika kambi za jeshi 😂