Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Ila leo kocha amezingua aisee. Waliostahili kutoka walikuwa ni Mzize na huyu mchezaji wake Guede ambaye anazunguka tu pale mbele.Huyu Gamond tumfukuze mapema kabla hajaiharibu zaid timu yetu
Jaribuni kutulia dawa iwaingieHii sio ysnga ninayoijua
Mtani kipenzi....pole babaDah! Ila leo kocha amezingua aisee. Waliostahili kutoka walikuwa ni Mzize na huyu mchezaji wake Guede ambaye anazunguka tu pale mbele.
Kutoka kwa Aucho na Pacome kumeharibu kabisa mfumo wa timu.
mmeyatimba... tililiii tililiii tililii,, mmeyatimba!!Tunapoteza points kwa sababu ya kukosa umakini. Game tumeichukulia poa
Huyu Gamond tumfukuze mapema kabla hajaiharibu zaid timu yetu
Hajaomgeza dkk?.Refa maliza boli wengine tunaishi mbali
Nani kafungaChumaaaa Nifah amkaa hukooo