Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nilikuwa busy na mpira Mkuu, nilale kwa raha gani?Chumaaaa Nifah amkaa hukooo
Mama nibebeKikosi kipana tunacho hatuna?
Sisi ni Yanga
hapa ndio kosa limeanzia kigoli kimoja unafanya sub za watu muhimuDah! Ila leo kocha amezingua aisee. Waliostahili kutoka walikuwa ni Mzize na huyu mchezaji wake Guede ambaye anazunguka tu pale mbele.
Kutoka kwa Aucho na Pacome kumeharibu kabisa mfumo wa timu.
Yanga kampata goal la pili hapaVp huko
Sio kipana tu kimetawanyika pia 😂😂😂Kikosi kipana tunacho hatuna?
Sisi ni Yanga
Nilishachanganyikiwa ndugu yangu! DahSi mchezo wanataka kututoa roho hapa
Naona mmeanza kumpangia Gamondi kocha la makocha.Dah! Ila leo kocha amezingua aisee. Waliostahili kutoka walikuwa ni Mzize na huyu mchezaji wake Guede ambaye anazunguka tu pale mbele.
Kutoka kwa Aucho na Pacome kumeharibu kabisa mfumo wa timu.
MudathiriNani kafunga
Ila wachezaji wa Yanga na kocha wao wanatuweka matumbo joto mpaka basi. Yaani tunaongoza lakini hatuna amani.
Bado unaserebuka Mkuu? 🤣🤣mmeyatimba... tililiii tililiii tililii,, mmeyatimba!!
Eti eeeh?Bacca bado yuko Afcon akitoka huko aende honeymoon then ndio arudi Yanga