uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
mmeponea chupu chupu leoHamkosi la kusema, sisi zetu points 3.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmeponea chupu chupu leoHamkosi la kusema, sisi zetu points 3.
Na kama sio Sisi basi AzamIla hili kombe letu kwa mwendo huuu...
Huna haja ya kuzunguka, uongozi wa Yanga fc unastahili lawama kwa asilimia 90.Wachezaji wengine tegemeo wanazurula tu hawajaripoti mpaka leo
kocha bado anajaribu jaribu wachezaji kama vile tuko kombe la mapinduzi! Huu ujinga ndo naelewa kwanini akina TSHABALALA hawana likizo kocha serious huwa anaepuka kuitoa timu sadaka
Timu inayotafuta matokeo haiwezi kufanya sub ya ajabu namna ile. Viungo wanaochezesha timu unawatoa wakati timu ina sare ya goli moja moja!hata tukishinda kocha msenge sana
unawatoa watu wazito kama PACOME AUCHO unawaingiza kina mkude serious halafu mapema kabisa
Historia iliyoandikwa ni ushindi, hiyo chupuchupu itabaki midomoni tu.mmeponea chupu chupu leo
NEVER.Tuseme nini sasa tumewaachia uzi wenu mfarijiane, sisi tunafukuza mwizi kimya kimya mtakuja kushituka tuko pale juu, ninyi endeleeni kurukaruka tu
likizo za kipumbavu pumbavu za akina max zote zimeshatugarimu! Mbona Musonda yupo wao wametolewa robo uko ila mpk saivi hawajulikani walipo. Naona uongozi wanajisahau kukosa sapoti ya mashabiki huwaga ni dakika0 tuHuna haja ya kuzunguka, uongozi wa Yanga fc unastahili lawama kwa asilimia 90.
Wachezaji wote wanaotoka ulaya walioshiriki AFCON walikuwa wanarudi haraka sana kwenye vilabu vyao lakini viongozi wa Yanga wameona wachezaji wetu ni wafalme wanastahili mapumziko baada ya kucheza mechi 4 au 5 za AFCON, tatizo hili.
Dede Ayew na Inaki Williams hawakupumzika hata siku mbili wakacheza mechi za ligi. Ni upuuzi na ujinga anaofanya Hersi unatughalimu leo.
Kumbe bado mkuu naona uzee unanisumbuaMzunguko wapili bado jombaa
ilikua tunaongoza goli mojaTimu inayotafuta matokeo haiwezi kufanya sub ya ajabu namna ile. Viungo wanaochezesha timu unawatoa wakati timu ina sare ya goli moja moja!
BadoKumbe bado mkuu naona uzee unanisumbua
Aulizwe Mwasibu hili swali!Hivi Why Azizi Ki hajarudi?
Unazungumzia nini?likizo za kipumbavu pumbavu za akina max zote zimeshatugarimu! Mbona Musonda yupo wao wametolewa robo uko ila mpk saivi hawajulikani walipo. Naona uongozi wanajisahau kukosa sapoti ya mashabiki huwaga ni dakika0 tu