Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hadi kutype nilishindwa, dah!😂 that was figure of speech, huoni umeamka na kutype wakati unashangilia
Tungeongea nini?anatusitiri kwa kweli, unajua kesho mechi ya Azam ningepooza sana.
Kinini mkuu hamna amsha amsha mmeishiwaa..
Anafirimbwa UTO raha naona mimi!
Halafu nimetoka kumshauri masaa kadhaa yaliyopita. Aisee ikitokea akafanya hesabu zake za kihasibu kwa huyu Guede, safari hii zinaweza kuzaa matunda. 😁Kuna umuhimu mkubwa Mwasibu Sele wetu amfanyie hesabu zake ..
mna struggle sana kupata matokeo.Kikosi kipana tunacho hatuna?
Sisi ni Yanga
mtakufa nyieyaan kesho ukitaka biriani linoge simba afe 3.
Ubovu wao, furaha yetu.Ila Yanga ni mboooooovuuuuuu
Hamkosi la kusema, sisi zetu points 3.mna struggle sana kupata matokeo.
Mganga wao kashikwa na red eyes haoni dawa zakeUbovu wao, furaha yetu.